Recent content by hellhound

  1. hellhound

    MSAADA: Tatizo ni meno kuwa na rangi nyeusi (Meno 🦷)

    umetumia colgate gani kuondoa unjano kwenye meno maana tatizo la meno kuwa ya njano linanitesa.
  2. hellhound

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    leo ni jumatano
  3. hellhound

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    shukrani kiongozi ila nawezaje kufahamu kama laptop yangu inakubali ssd ya m2 maana nilikuwa nataka nitumie vyote kwa pamoja ssd pamoja na hdd Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
  4. hellhound

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    habari kiongozi nina hp probook G5 ina hdd 500gb nilikuwa nauliza naweza kuweka ssd na pia sina uelewa na ssd huwa zinaweza kuwekwa kwenye laptop yoyote na huwa zinauzwa kama zilivyo hard disk Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
  5. hellhound

    WAZO LA BIASHARA : Njoo uwekeze katika wazo hili la biashara linaloenda na wakati wa kisasa uendeshaji wake ni rahisi sana

    habari nimesoma maelezo yako ila mwenye restaurant anapataje faida akijiunga na hiyo app
  6. hellhound

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    sawa mkuu nimekuelewa shukrani sana
  7. hellhound

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    bajeti yangu ni laki8 naweza kupata yenye specification za juu zaidi ya hiyo
  8. hellhound

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    kwa hiyo mkuu unanishauri niinunue tu
  9. hellhound

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    habari mkuu naomba nisaidie kuniangalizia hiyo laptop yebye hivyo vigezo hapo naweza kuitumia kwenye maswala ya programming na designing vizuri
  10. hellhound

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    ukumbi wenyewe una giza
  11. hellhound

    Fani zenye ajira kwa sasa, vijana someeni fani hizi

    soko la meimoria dah umenikumbusha moshi mkuu
  12. hellhound

    TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

    RIP brother mkumbwa naye alishafariki hata mwaka haujapita
  13. hellhound

    Kwa wale watu walioapply diploma mwaka huu

    Hivi kuna kuwepo mpaka third round au hii second round ndio ya mwisho
  14. hellhound

    Pesa kidogo challenge

    Pesa kidogo tu umeshaanza kuangalia Al jazeera na CNN
  15. hellhound

    Nina App idea naombeni ushauri

    Dah nikweli mkuu tena huwa nikitafuta mziki nikakutana na site inauza huo mziki huwa nakimbia kama nimeona simba. Ila nilikuwa nimelifikiria hilo nikaona iwe ni kustream bure kwa users wa kawaida, then kutakuwa na system ambayo app itaingiza pesa hata ads na hyo pesa tutagawana percent flani na...
Back
Top Bottom