WAZO LA BIASHARA : Njoo uwekeze katika wazo hili la biashara linaloenda na wakati wa kisasa uendeshaji wake ni rahisi sana

Sep 8, 2017
55
259
Habari

Mimi ni mtaalamu wa masuala ya I.T
Nimefanikiwa kutengeneza mobile apps za food delivery kama ambavyo ilivyokuwa inafanya kazi jumiafood au ubereats

Hapa kunakuwa na apps 3 ambazo ni
1.application ya mteja anaye order chakula
2.application ya mmiliki wa restaurant ambaye anakuwa ameandaa menu yake na kui upload mtandaon
3.application ya delivery boy huyu ni dereva ambaye kazi yake ni kufuata chakula kutoka kwa mwenye restaurant na kupeleka chakula kwa mteja aliyefanya order

4.Kunakuwa na system ya kumonitor shughuli zote.. Hii system inakuwa ya mmiliki wa mfumo kucontrol apps zote

Mmiliki wa mfumo huu hana haja ya kuwa na restaurant.Bali anaingia mkataba na wamiliki wa restaurant kwa ajili ya wao kuweka menu zao online na mmiliki kupata % za kila order na pia hana haja ya kuwa na pikipiki(akiwa nazo itakuwa poa tu) ila anaweza kuingia makubaliano na wenye piki piki wakamfanyia delivery

Kazi kubwa ni kufanya marketing na kuhakikisha watu wana download application kwa ajili ya kufanya order za vyakula
Hapo ndipo inapokuja suala la digital marketing au social media marketing kwa ujumla.

Kwa yeyote mwenye nia ya kuwekeza kwenye hii business anakaribishwa kununua application hizi

CLOSED CLOSED CLOSED
 
Ni wazo zuri ila mteja anaetaka kuorder msosi anaipataje hio app?
 
Pia ungeiweka playstore na appstore ili iwe rahis kupatikana na kuifanyia promo zaid kwenye platform nyingine zinazofikiwa na watu kwa urahisi ili iwe rahis zaid watu kuifaham na kuipakua badala ya kutegemea mtu had akutafte private kama unahis hiyo itakupunguzia faida unaweza weka utaratibu kwa mtoa huduma za chakula kulipia kiasi kidogo wakat wa kusajiri huduma yake na kuwa na ℅ unayilipwa kwa kila order inayofanyika
 
Habari

Mimi ni mtaalamu wa masuala ya I.T
Nimefanikiwa kutengeneza mobile apps za food delivery kama ambavyo ilivyokuwa inafanya kazi jumiafood au ubereats

Hapa kunakuwa na apps 3 ambazo ni
1.application ya mteja anaye order chakula
2.application ya mmiliki wa restaurant ambaye anakuwa ameandaa menu yake na kui upload mtandaon
3.application ya delivery boy huyu ni dereva ambaye kazi yake ni kufuata chakula kutoka kwa mwenye restaurant na kupeleka chakula kwa mteja aliyefanya order

4.Kunakuwa na system ya kumonitor shughuli zote.. Hii system inakuwa ya mmiliki wa mfumo kucontrol apps zote

Mmiliki wa mfumo huu hana haja ya kuwa na restaurant.Bali anaingia mkataba na wamiliki wa restaurant kwa ajili ya wao kuweka menu zao online na mmiliki kupata % za kila order na pia hana haja ya kuwa na pikipiki(akiwa nazo itakuwa poa tu) ila anaweza kuingia makubaliano na wenye piki piki wakamfanyia delivery

Kazi kubwa ni kufanya marketing na kuhakikisha watu wana download application kwa ajili ya kufanya order za vyakula
Hapo ndipo inapokuja suala la digital marketing au social media marketing kwa ujumla.

Kwa yeyote mwenye nia ya kuwekeza kwenye hii business anakaribishwa kununua application hizi

NAKARIBISHA MAWAZO

NB: Demo apps zipo (Appilication hizi zote zinafanya kazi katika simu za android (play store) na ios (iphone) )

0677 818283
I'll contact you
 
Habari

Mimi ni mtaalamu wa masuala ya I.T
Nimefanikiwa kutengeneza mobile apps za food delivery kama ambavyo ilivyokuwa inafanya kazi jumiafood au ubereats

Hapa kunakuwa na apps 3 ambazo ni
1.application ya mteja anaye order chakula
2.application ya mmiliki wa restaurant ambaye anakuwa ameandaa menu yake na kui upload mtandaon
3.application ya delivery boy huyu ni dereva ambaye kazi yake ni kufuata chakula kutoka kwa mwenye restaurant na kupeleka chakula kwa mteja aliyefanya order

4.Kunakuwa na system ya kumonitor shughuli zote.. Hii system inakuwa ya mmiliki wa mfumo kucontrol apps zote

Mmiliki wa mfumo huu hana haja ya kuwa na restaurant.Bali anaingia mkataba na wamiliki wa restaurant kwa ajili ya wao kuweka menu zao online na mmiliki kupata % za kila order na pia hana haja ya kuwa na pikipiki(akiwa nazo itakuwa poa tu) ila anaweza kuingia makubaliano na wenye piki piki wakamfanyia delivery

Kazi kubwa ni kufanya marketing na kuhakikisha watu wana download application kwa ajili ya kufanya order za vyakula
Hapo ndipo inapokuja suala la digital marketing au social media marketing kwa ujumla.

Kwa yeyote mwenye nia ya kuwekeza kwenye hii business anakaribishwa kununua application hizi

CLOSED CLOSED CLOSED
Unaweza kutuwekea mchanganuo wa jinsi watu hao wanavyo pata faida kwa%
 
Back
Top Bottom