Recent content by Heisenberg

  1. Heisenberg

    House4Rent Natafuta nyumba ya kupanga Kigamboni

    😀😀😀😀😀
  2. Heisenberg

    Je, ni Biashara gani inaendelea hapa?

    Kwa wale ambao huwa mnapita maeneo ya magereji kama vile Tandale, Mwananyamala, Ilala na Kko bila shaka umeshawahi kuwaona watu wakipita na baiskeli au mikokoteni wakikusanya Madumu/ Chupa za oil za magari na pia wakikusanya oil chafu na kuondoka nayo. Baada ya utafiti kidogo inasemekana oil...
  3. Heisenberg

    WAke za watu acheni kujipendekeza kwa wachungaji na manabii na mitume wana wake zao pia

    Pisi kali zinawaita wachungaji na manabii Dadii 😀😀😀😀 kazi sana
  4. Heisenberg

    Kufuta mauaji ya albino, ni kutokomeza kabisa Waganga wapiga ramli

    Wanao takiwa kupiga marufuku hao waganya ndio wateja wai
  5. Heisenberg

    PreGE2025 Itungwe sheria inayotoa adhabu dhidi ya wanaomtukana Rais

    Itasaidiaje kuleta maendeleo?
  6. Heisenberg

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    Nafuu wamekufukuza kazi rudi nyumbani. Laa sivyo wangekuua kwa majini kama sio kukufanya mgonjwa au kichaa
  7. Heisenberg

    Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

    Jifunze. Kuna sadaka za kutoa madhabahuni na kwingineko
  8. Heisenberg

    KERO Soko la Karume limejaa madalali ambao wamekuwa kero kwa wanunuzi

    Soko la Karume limejaa madalali wengi sana (Mawinga) hawa mabwana wamekua Kero sana kwani wanakuvutavuta kukuita na makwazo mengi sana. Ifahamike kile mteja aanajua bidhaa anayohitaji lakiji hawa wanakuvuta huku mara kule yaani wamekua kero sana. Wengi wao ni walevi na wavuta bangi. Pia...
Back
Top Bottom