Nimeona kwenye Tv kuwa kuna mwanahabari ameshinda U-mp wa nyali huko kenya anakwenda kwa jina la mohamed ali, nilitaka kujua kama ni yule wa jicho pevu maana nilisikia alibwagwa kwenye kura za maoni za nasa, sasa aligombea vipi tena, au alikuwa independent? Mwenye taarifa zake naomba kujuzwa.
ac
Achana nae huyo hajui, kila sector ina special economic skills, halafu ndio hiyo general economics ya Ndulu. Ingawa sector zote zinatumia similar principles of economics. hata huko kwenye extractive industry kuna hiyo mineral economics na ipo Petroleum economics, hizi ni tofauti ingawa zote...
A Primer on Black Intelligence
Posted on March 27, 2017 by LM
In response to this article about how archaeologists have digitally reconstructed the face of a medieval man who died 700 years ago, commentator “Robbie” has what is probably the best encapsulation of HBD findings on black...
Nilikuwa nafanyakazi tarime mgodi wa North Mara miaka ya 2009/10 kwenye kitengo cha security. Kuna kijana anaitwa John tulikuwa naye kwenye kitengo cha security. Mimi na John tulikuwa tunasimamia ugawaji wa mufuta kwenye machine zilizopo kwenye machimbo (Pit) kwa kutumia fuel boozer. Ratiba yetu...
Wakuu heshima kwenu,
Zamani kabla sijawa na watoto, nilikuwa nakaa kwa bro ambaye ndiye alienisomesha na kunitafutia ajira. Jirani yetu kulikuwa na familia ya mtu ambaye alichelewa kupata watoto hivyo akaamua ku-adopt watoto wawili.
Inavyosemekana baadae walikuja kuzaa watoto wawili hivyo...
Mkuu labda huelewi maana halisi ya hizi social networks, huku kila mtu anatoa mtazamo wake kuhusu kile anachokiona halafu hoja zinashindanishwa hatimae kila mtu anapanua mawazo, Desi ilipokuja ilipitia makanisani, waumini wakaambiwa wanapanda mbegu, mijadala kama hii ilipokuwa mikali kwenye hizi...
Wasomi wa bongo wasikuumize kichwa sana, elimu imeshindwa kuwatoa ujinga wa kuamini mizungu, ndio maana kwa babu wa loliondo waliongoza wao kwenda kunywa kikombe. Msomi mzima unaacha dawa za hospital unaenda kunywa kikombe eti babu kaoteshwa na mungu. Dah! Pale ndio nilipoona hii nchi tuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.