Usijidanganye, huwezi kumpa upendo mtoto asiye wako sawasawa na mtoto wako

May 20, 2013
71
151
Wakuu heshima kwenu,

Zamani kabla sijawa na watoto, nilikuwa nakaa kwa bro ambaye ndiye alienisomesha na kunitafutia ajira. Jirani yetu kulikuwa na familia ya mtu ambaye alichelewa kupata watoto hivyo akaamua ku-adopt watoto wawili.

Inavyosemekana baadae walikuja kuzaa watoto wawili hivyo familia ikawa na watoto wanne. Baada ya kuwa na hao watoto wa kuwazaa yule mwanamke akaanza kuwanyanyasa wale watoto waliowa-adapt mpaka ikafikia yule baba akawapeleka kwa ndugu zao wengine.

Kaka yangu alikuwa na watoto ambao nilikuwa nawapenda sana mpaka nikawa nasema hata nikiwa na watoto wangu siwezi wabagua watoto wa bro', nitawapa upendo sawasawa na watoto wangu.

Miaka kumi na ushee baadae na mimi nimekuwa na watoto wangu. Mtoto wangu wa kwanza ana umri sawa na mtoto wa mwisho wa bro', nilichokigundua ni kuwa upendo kwa mtoto wako haufanani na unavyowapenda watoto wa wengine ''never''. Yaani at some point, there must be a decision made in favor of your biological child.

Hizi tamaduni za ku-adapt tuwaachie wazungu, sisi wabongo hatuwezi haya mambo. Utaua bure ufungwe.
 
Daa hyo kweli kbsa hata mm ilinitikea hyo issue nilikuwa nawapenda sana sana watoto wa dada yangu yani zaidi ya sana lkn tangu nimepata wa kwangu imekuwa tofauti kbsa na nilivyotalajia I lv my baby more so is true
 
Kwa wanaume inawezekana lakini sio kwa wanawake ni wachache wenye hayo mapenzi ya kupenda mtoto asiye wake hasa inapotokea situation kama hiyo yako.
 
Hata mimi nilivyopata wangu ndio nikagundua upendo kwa mtoto wako wa kumzaa ni wa tofauti sana.
 
Ni kweli kabisa mimi binafsi nmelelewa na ndugu, mwanzoni niliona tunapendwa sawa nadhani ni utoto ila jinsi nlivokuwa nakua nilianza kuona gap hasa kwenye kazi nlikuwa natumwa kuliko wote kwa kigezo kuwa mimi nafanya vizuri, kumbe hyo ilikuwa mbinu ya kupumzsha watoto wake,... Upendo hauwezi kuwa sawa
 
Wakuu heshima kwenu,

Zamani kabla sijawa na watoto, nilikuwa nakaa kwa bro ambaye ndiye alienisomesha na kunitafutia ajira. Jirani yetu kulikuwa na familia ya mtu ambaye alichelewa kupata watoto hivyo akaamua ku-adopt watoto wawili.

Inavyosemekana baadae walikuja kuzaa watoto wawili hivyo familia ikawa na watoto wanne. Baada ya kuwa na hao watoto wa kuwazaa yule mwanamke akaanza kuwanyanyasa wale watoto waliowa-adapt mpaka ikafikia yule baba akawapeleka kwa ndugu zao wengine.

Kaka yangu alikuwa na watoto ambao nilikuwa nawapenda sana mpaka nikawa nasema hata nikiwa na watoto wangu siwezi wabagua watoto wa bro', nitawapa upendo sawasawa na watoto wangu.

Miaka kumi na ushee baadae na mimi nimekuwa na watoto wangu. Mtoto wangu wa kwanza ana umri sawa na mtoto wa mwisho wa bro', nilichokigundua ni kuwa upendo kwa mtoto wako haufanani na unavyowapenda watoto wa wengine ''never''. Yaani at some point, there must be a decision made in favor of your biological child.

Hizi tamaduni za ku-adapt tuwaachie wazungu, sisi wabongo hatuwezi haya mambo. Utaua bure ufungwe.
Ni mtazamo na hisia zako tu, huwezi zungumzia yaliyomo moyoni mwa wengine. Wangapi waliambiwa huyu ni mama/baba yako wa kufikia baada ya kulelewa na kuwa watu wazima na wakagoma kabisa kuamini.
 
Ni kweli... Yaani mtu mwenye watoto wake biological hatawalea sawa na wale aliowaadopt...
 
Wakuu heshima kwenu,

Zamani kabla sijawa na watoto, nilikuwa nakaa kwa bro ambaye ndiye alienisomesha na kunitafutia ajira. Jirani yetu kulikuwa na familia ya mtu ambaye alichelewa kupata watoto hivyo akaamua ku-adopt watoto wawili.

Inavyosemekana baadae walikuja kuzaa watoto wawili hivyo familia ikawa na watoto wanne. Baada ya kuwa na hao watoto wa kuwazaa yule mwanamke akaanza kuwanyanyasa wale watoto waliowa-adapt mpaka ikafikia yule baba akawapeleka kwa ndugu zao wengine.

Kaka yangu alikuwa na watoto ambao nilikuwa nawapenda sana mpaka nikawa nasema hata nikiwa na watoto wangu siwezi wabagua watoto wa bro', nitawapa upendo sawasawa na watoto wangu.

Miaka kumi na ushee baadae na mimi nimekuwa na watoto wangu. Mtoto wangu wa kwanza ana umri sawa na mtoto wa mwisho wa bro', nilichokigundua ni kuwa upendo kwa mtoto wako haufanani na unavyowapenda watoto wa wengine ''never''. Yaani at some point, there must be a decision made in favor of your biological child.

Hizi tamaduni za ku-adapt tuwaachie wazungu, sisi wabongo hatuwezi haya mambo. Utaua bure ufungwe.
Mkuu niseme kila mtu na Moyo wake na mambo yanavyomkuta,mimi wakati nimeolewa naridi Honeymoon hata Henna haijatoka mikononi nimeletewa mtoto wa miezi mi3 wa mumewangu fikiria unaichukuliaje? lakini nilimpokea yule mtoto na nnampenda na kokote nnakokwenda wanajua ni mtoto wangu wa kwanza na hata watoto wangu nilio wazaa mwenyewe wanajua kama yule ni sister wao na she is 17yrs now am very proud of her,inategemea na situation mkuu....
 
Ni mtazamo na hisia zako tu, huwezi zungumzia yaliyomo moyoni mwa mwengine. Wangapi waliambiwa huyu ni mama/baba yako wa kufikia baada ya kulelewa na kuwa watu wazima na wakagoma kabisa kuamini.

Sijui hapo atazungumziaje
mie kwetu tulizaliwa wawili lakini kuna issue zilitokea mama akalea mtoto
mwingine miaka yake yote hakuwahi kujua yule sio mama yake wala mimi sikujua yule
hakuwa mdogo wangu na hata yeye alipojua ukweli hakuamini na wala hawezi kumuita mama jina lingine zaidi ya mama....
 
Wakuu heshima kwenu,

Zamani kabla sijawa na watoto, nilikuwa nakaa kwa bro ambaye ndiye alienisomesha na kunitafutia ajira. Jirani yetu kulikuwa na familia ya mtu ambaye alichelewa kupata watoto hivyo akaamua ku-adopt watoto wawili.

Inavyosemekana baadae walikuja kuzaa watoto wawili hivyo familia ikawa na watoto wanne. Baada ya kuwa na hao watoto wa kuwazaa yule mwanamke akaanza kuwanyanyasa wale watoto waliowa-adapt mpaka ikafikia yule baba akawapeleka kwa ndugu zao wengine.

Kaka yangu alikuwa na watoto ambao nilikuwa nawapenda sana mpaka nikawa nasema hata nikiwa na watoto wangu siwezi wabagua watoto wa bro', nitawapa upendo sawasawa na watoto wangu.

Miaka kumi na ushee baadae na mimi nimekuwa na watoto wangu. Mtoto wangu wa kwanza ana umri sawa na mtoto wa mwisho wa bro', nilichokigundua ni kuwa upendo kwa mtoto wako haufanani na unavyowapenda watoto wa wengine ''never''. Yaani at some point, there must be a decision made in favor of your biological child.

Hizi tamaduni za ku-adapt tuwaachie wazungu, sisi wabongo hatuwezi haya mambo. Utaua bure ufungwe.
Sip kweli mkuu... si kila mtu ana roho mbaya. Nina mfano hai ila nakanusha point yako.
 
Back
Top Bottom