jamani,tuache utani tujadili facts,Wasomi wangapi wamekuwa vituko tu,nchi hii ipo mahali pabaya kwasababu ya wasomi haohao mnaowasifu.
mimi nawakumbuka akina kikwete,profesa kapuya, Maige, ikerege,chami na wengine wengi tu wamefanya nini pamoja na elimu zao kuwa kubwa?
inakuwa sawa na...