VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Leo,majira ya saa tano asubuhi,nilikuwa viunga vya Wizara ya Ardhi.Nilikuwa kwenye harakati zangu za kikazi kushughulikia wateja wangu.Mara,akajitokeza Dr.Willbrod Peter Slaa,Katibu Mkuu wa CHADEMA. Tukawa tunapishana kwenye ngazi:yeye anashuka,mimi napanda. Alikuwa ana Mlinzi wake mmoja aliyevalia suti nyeusi.Nikamsalimu.Akaitikia.
Nilihisi furaha isiyo na kifani moyoni mwangu.Kupishana na mtu makini ambaye nilimpigia kura yangu ya Urais na 'kumshindisha' ,tena kwa umbali kama ule,ni jambo kubwa kwangu.Dr.Slaa bado anadai.Nafasi yake yake bado ipo wazi.Kwa kifupi,nimefarijika sana...asante Dr.Slaa hata kwa kuniitikia salamu yangu tu...
Nilihisi furaha isiyo na kifani moyoni mwangu.Kupishana na mtu makini ambaye nilimpigia kura yangu ya Urais na 'kumshindisha' ,tena kwa umbali kama ule,ni jambo kubwa kwangu.Dr.Slaa bado anadai.Nafasi yake yake bado ipo wazi.Kwa kifupi,nimefarijika sana...asante Dr.Slaa hata kwa kuniitikia salamu yangu tu...