Flashback: Mh. Msigwa in action Very good!

Nilibahatika check live hii hotuba.This is one of the CDM`s trademarks.Alikuja tena Sugu, katika hotuba aliyochomekea kuwa si "upepo ni Kimbunga na kinapita na dhoruba" .Jamaa waliweka discipline kuanzia siku hiyo bungeni,miongozo ilipungua, vijembe vilipungua..

Kwa siku hiyo si PM, wala speaker, wala nani wa CCM walikuwa na nguvu katika session nzima.Walipata nguvu baada ya PM kwenda fikiri upya na kuwafunda tena.It was a cutting edge piece with a commanding tone. "ULIPITA UKIMYA KAMA VILE JAMAA ALIKUWA ALIKUWA AKIWAPA UPAKO".

CDM wana vipaji, wanajua kuhutubia, wana ujasiri na commanding power, sijui kama Kagasheki ndio angefuatia baadaye siku hiyo sijui kama angeweza piga vile vijembe na kejeli,kama siku alipokuwa akisilisha Ya wizara yake.
 
Pastor Msigwa I salute you! I see we have got wabunge on one side of the house and WANACHAMA on the other side. Wanachama are there to protect Maslahi of the DYING party while wabunge are there to speak the truth. Ukweli utatuweka huru. God bless you kaka Msigwa.
 
Wabunge wa chama tawala wajifunze sasa jinsi ya kujadili maswala ya kitaifa bungeni.. Huu ushabiki wa kijinga wa kuunga bajeti mkono 100% halafu unaongea dakika 10 ukiikosoa hauvumiliki tena.. Hongera msigwa, zitto, mnyika na wengine mnaoendelea kuonyesha mwanga.. Somebody please tell mwinchemba to shut up!!
 
Daaah! mimi nilisikiliza siku zile, lakini leo umenikumbusha mambo mengi sana mtoa uzi huu! nafikiria na kukumbuka jinsi bunge lilivyokuwa likiendeshwa, kwa kweli we have a long way to go! lakini kuna siku mambo yatabadilika! Time alone will tell. I believe that. Big up Mch.
 
kwa kweli clip hii ya kaka msigwa kila siku nikisilikilizaga uwaga machozi yananitoka kwa maana ka kweli sidhani kama mwaka huu mzima kuna mtu au watu bungeni wanaweza kutoa kitu kilichopikwa kikapikika kama kile cha mwana wa msigwa ambacho kinakwenda ktk historia ya Tanzania kama one of the classic if not the most classic well articulated address given by the Tanzanian member of parliment ever. keep it up comrade Msigwa.
 
Daaaah huyu ni jembe hile mbaya!

Asante sana mtoa mada!
 
Ki-ukweli msigwa ni moja ya hazina ya Tz,na nafikiri ni zaidi ya mwanasiasa
he is above normal. bible inasema Mungu akikuridhia anakupa Hekima then maarifa na mwisho anakupa furaha.kwa kweli ni hotuba nzito kuielezea. Ebu ccm wawatumikie watu Basi, waache LONGOLONGO JAZZ,

MTU kama Nape angejifunza basi kupitia hotuba kama hizi zenye ujazo wa hekima
 
hiim houba ya Rev Msigwa haina spare part. Sina uhakika kama anaweza kkuja kutoa nyingine kama hiyo. BIG THUMB REVEREND
 
Ni kweli huyu jamaa ni kipaji,huu mchango kama waliotangulia kisema i think is one of the best kwenye bunge lililopita hata mkuu mwenyewe ningemshauri siku ananafasi akae kuisikiliza kwani cheche alizozitema zilikuwa nondo mbaya,na hii inaonesha kwamba ukichaguliwa kama chaguo la wananchi utakuwa jembe,lakini ukitumia pesa kulazimisha utabaki kuwa mpiga makofi na kusema tutatawala milele
 
Tatizo la CCM ni kulazimisha wabunge kusema wanayotaka badala ya kuwaruhusu waseme wananchi wanayotaka. Kwa kuwa hatuyasikii huko CCM, hatuna haja ya kuwapenda CCM.

Kwa upande mwingine tena kama anavyosema Mh. Msigwa, hata wasomi walioko CCM hawajui waseme nini. Tangu waziri, waziri mkuu, wabunge na sasa hivi mwanasheria mkuu wa CCM (serikali), wote wanabwatuka tu. Wabunge wanaishia kusifu na kuwapigia makofi mawaziri badala ya kuisimamia serikali !

Waziri anaishia kushukuru mke na watoto kwa kumusaidia kufanya kazi za serikali usiku kucha!

Ni tatizo.
 
Nimesisimka, long live wazalendo, nadhani wote walitekewa kwa ujumbe, kila nilivyozidi kuangalia na kusikiliza hii clip nilidhani mwanahisaya Lukuvi angesimama...longo live wazalendo
 
Bunge limeahilishwa lakini kuna michango ya kukumbukwa. Angalia Mchango huu wa mh. Msigwa.



Courtesy of Mwanakijiji



CCM inalinyanyasa sana taifa letu tena kwa majivuno makubwa. Mungu anaendelea kuibua wachache toka upinzani kama huyu Msigwa. Tunaendelea kusikiliza kila siku na mabadiliko yatakuja tu. CCM iendelee na ngonjera na mashairi ya DHAIFU huku wenye akili wakifanya kazi ya Mungu na hatimae tutaona nani mshindi.
 
Last edited by a moderator:
Yaani deni ni Trilioni 20, bajeti trilioni 13.


Ule Msamaha wa madeni wa Mkapa ulileta manufaa gani?

Hii ndo hali nilisikia Wasira akisema tutazidi kukopa! Ubaya ni kwamba mtu kama wasira yeye anakula pesa ya wizi na hajali nchi itaishia wapi!
 
Naombeni ombi langu lizingatiwe la hapo juu. Nipo kijijini nikielimika mimi nitasaidia kuielimisha jamii inayonizunguka. Mf nina ile ya Mh Vicent aliyozungumzia kuhusu "makampuni ya kutengeneza magari nje ya nchi" watu wakiisikiliga wanakuwa majasiri sana. Kuna mpendwa mmoja alitupia kwa kutumia mp3. Abarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom