Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
kama vipi changia Kwa kiswahili tu kaka maana hizi lugha ni za wenzetu, hakukua na ulazima wa kukivunjavunja kiingereza hivi
Sijakuelewa halafu mi ni mdada sawa eh?
kama vipi changia Kwa kiswahili tu kaka maana hizi lugha ni za wenzetu, hakukua na ulazima wa kukivunjavunja kiingereza hivi
the problem has been '' Manufacturing of teachers'' we need to manufacture more teachers!!! huyo ndo raisi wa tanznaia!!!
kama umechunguza kwa makini mle ndani wajumbe wengi wakuwa bize na simu zao wakati anaongea jk.....tofauti na wakat zenawa na zuma wanaongea.....
Huyu jamaa hadhi yake ni kuwa Mkuu wa Mkoa.. Presidency post ni cheo kikubwa sana kwake hana uwezo. Period
Rais anachunguzwa na wapiga kura kabla ya kuchaguliwa kwa kupitia midahalo, tunategemea nini kama tunachagua watu wanaokimbia midahalo kabla ya uchaguzi?Kwakuwa uraisi ni taasisi, umefika wakati washuri wa raisi wachunguzwe. Nahisi hawatimizi wajibu wao vizuri. Rais anavoenda kwenye mikutano kama hiyo anatakiwa aandaliwe mambo ya kuongea. Ni aibu kubwa mtu kujiainisha kama mshauri wa raisi wakati rais anapata shida kuzungumza kwa ufasaha mambo yanayolihusu taifa. Jk afukuze wote kazi. Wanalipwa mishahara ya bure hao.
Hivi kwani ilikuwa lazima ajibu kwa kidhungu? mbona mwenzie alikuwa anatumia lugha anayoielewa vizuri then inatafasiriwa
Hivi hakuna njia yoyote ambayo tunaweza kupunguza miaka ya jk? Mie naona miaka Minne iliyobaki Tanzania itakuwa kama sio nchi tena! Jamani kwanini tusifikilie njia mbadala? Kwani lazima amalize miaka yote?
Hivi mbayuwayu kwa kiingilishi inaitwaje angewachomekea wazungu wakawa bize kutafuta maana yake kwenye dictionary watakapoibuka wanakuta yeye anamalizia Thank You mr Prime Minister Gordon Brown.Mkuu tatizo si kidhungu, tatizo la kiwete ni uwezo wake!! Hana capacity ya kuongelea issues! Amezoea midahalo na maswali ya kuandaliwa majibu!! Kwenye forums kama hizi ni bora awe anaacha tu kwenda maana ni aibu tupu!!
JK anaweza kuiongea vizuri na wazee wa Dar tu!! Wewe subiri atakapokuja kuongea nao hivi karibuni kujibu mapigo yoote ya mgomo wa ma-dr!!! Hapo ndipo utakapojua Jk ni nani!! Huko hawezi masikini mkwer.e wetu anatia hurutma tu!!
Sasa ndo napata jibu kwa nini elimu yetu Inazidi kuporomoka kila siku kumbe...we don't train teachers but we manufacture them.the problem has been '' Manufacturing of teachers'' we need to manufacture more teachers!!! huyo ndo raisi wa tanznaia!!!
Naona vicheche wa CDM wamecharuka na propaganda zao, mtabaki kupiga kelele tu humu JF mwisho mtanyamaza. Hakuna mwenye jeuri ya kuandamani wala chochote.
Kikwete ndio Rais wa Tanzania na ni baba yenu wote nyie humu.