Pamoja mkuu:
Embu tujiulize kidogo, kwa style hii taifa linaenda kudondokea wapi, kama sio kwenye matope mazito ya volkano!
Upofu wa mapenzi, watanzania wanaona chui(chadem), lakini wanamfuata kumkumbatia wakijiaminisha ni kondoo, yote haya ni huku kujeruhiwa na simba (ccm) kunatuchanganya akili, wezi wengine na wajanja wengine wanatumia mateso na unyonge wetu kutokana na uozo wa ccm, kutulubuni na kututawala! Lakini ni dhambi kubwa kumuongoza kipofu shimoni kwa sababu tu ya udhaifu wake, na usitarajie huonekani, UNAONEKANA NA UTAADHIBIWA INAVYOSTAHILI. "mchunguzeni kwa makini sana anayelia sana msibani"
Tunataka kiongozi mzalendo na mbunifu kwa nchi yake, huyu HAJAWAI KUWEPO KWENYE KITU KIITWACHO SIASA, siasa ni ya WANASIASA si VIONGOZI. Alafu chonde sana, tofautishe wanasiasa na wanaharakati, wanaojiita wanaharakati ndani ya vyama vya siasa ni sawa na wapumbavu. Kwasababu, mwanasiasa yoyote ni lazima atafungwa na kanuni na taratibu za siasa zilizopo. Lakini mwanaharakati hafungwi na chochote kile ila MANTIKI katika kupigania UTU katika kuleta usawa kwa jamii.
MSIHARIBU MSAMIATI HUU.
Wanasiasa wote ni vibaraka wa ukoloni mamboleo, mimi nimesema!
Mungu wetu anaita!
Lema anafaa kuwa aidha waziri mkuu au waziri asiyekuwa na wizara maalum kwani akiwa rais ni ngumu sana yeye kuwa mtendaji mkuu
Mshumbuzi,
Hilo lako la kumpigia mtu debe kwa kukutekenya kwa hoja moja-mbili-tatu tu hivi, na ukamsamehe hata kama kakimbia shule, ni jambo la kusikitisha sana. Ila tu naomba ukumbuke, huu ni mwaka 2012 na sio 1963. Telegram sio tena barua ya haraka, kuna internet 4G na zaidi. Tunahitaji mtu ambaye angalau anaweza kutafiti matatizo yetu kwenye mitandao ya ki-academia. Form 4 hayawezi hayo.
Of note; naona jina 'lako' hulifahamu vizuri, ni Mshumbuzi na sio Mshumbusi.
wewe michango yako hapa JF kwani ipoje??si ni ***** tu kila siku??Nadhani na wewe unaumwa ugonjwa wa Kikwetephobia..
Mtu kama Lema upeo na ufahamu wake ni mdogo sana sio kila mtu anaweza kuwa Rais.
Angalia hata michango aliyokuwa akichangia Lema bungeni huwezi kumkuta Lema akichangia bajeti ya Wizara ya Fedha au Wizara ya Afya, yeye ni maandamano tu na kupigana.
Hilo jina unalotumia la "kaliua urambo" ni jina mahali unapotokea ambapo ni tabora na watu wa huko kaliua mm ninawafahamu maana ni vilaza sana ndio maana kila siku wanatawaliwa na juma kapuya(gamba) yani nyie huko ni mazoba kupindikia ndio mana sishangai kuona unamponda leama maana siasa za lema kwa vilaza kama nyie ni vigumu sana kuzielewa.
Mkuu Remmy kauli zingine zinaonekana za kisiasa lakini inakuwa kama matusi kwa watanzania. Kwani wakisema kwamba tunaweka watu makini ambao watashinda/wanashinda kuna ubaya gani badala ya kusema ati hata ukiweka jiwe litashinda. Jiwe likishinda hivyo litawatawala wapiga kura!Inaonyesha ni jinsi gani they are stupid.....jiwe liongoze watu, nosense...