Lema kaka yangu nikufarijije?

use paragraphs please
weka vituo

halafu ukweli wa Lema ni upi? kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani?? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki

Lema is just another disaster in this country1

siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CDM? halafu ndiye hero wenu?

kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CDM wameshinda?

hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!

kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!

Mkuu yafaa ujaribu kuangalia kwanini ccm walitumia mbinu chafu tangia umeya na pamoja ma machafuko hawakujali na sasa wamehamia kwa mbunge huoni kuna kitu magamba wananufaika nacho hapo arusha? Isitoshe hata watumie njama gani jimbo la arusha kulirudisha ni ngumu na itasababisha vita isiyokwisha milele na hata magamba wenyewe wanalitambua hilo sema kuwa na policcm ndo jambo linalowapa kiburi
 
use paragraphs please
weka vituo

halafu ukweli wa Lema ni upi? kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani?? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki

Lema is just another disaster in this country1

siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CDM? halafu ndiye hero wenu?

kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CDM wameshinda?

hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!

kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!

mpambanaji ni mzee wenu wa mipasho chini ya mshauri wake mzee wa kozomewa na mwandishi na... Nau... Kwa mbali akishirikiana na sharobaro wa kujifananisha na marehem sokoine pamoja na mweka chumvi lusinde na mzee wa kulalamika maig.....
 
Kaka ajuaye siri ya ujauzito ni kitanda, yeye anaishi mchambia wima mambo ya huku hawezi jua,hajua ametoka wapi anaenda wapi, ni mrukiaji wa mada pasipo kujua undani wa topic wala uhalisia wake,watu wa arusha ndio wanaojua umuhimu wa lema ndani ya huo mda mfupi alioongoza kama mbunge,

Je ni kiongozi gani alinyang'anywa uongozi mji ukazizima kwa huzuni? Mbona kaka yako maige amevuliwa uwaziri nchi nzima imefurahi je ni watanzania wangapi waliumizwa moyoni kwa hukumu ya lema?

Je wananchi wangapi wanamlaumu? Ogopa hadi baba yako,mama yako dada yako,kaka yako,shangazi,babu n.k wanamheshim mtu na kumjali kwa sababu ya dhamira ya kweli, endeleeni na kujichubua kwenu, sisi kazi kazi hadi tukukomboe, utake usitake la sivyo hama Tz
 
use paragraphs please
weka vituo

halafu ukweli wa Lema ni upi? kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani?? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki

Lema is just another disaster in this country1

siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CDM? halafu ndiye hero wenu?

kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CDM wameshinda?

hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!

kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!

waberoya! karibu Mwanza. Hivi kutaja mtu aliempa mwanamke mimba ni kosa? Awe kaolewa, hajaolewa, kaoa, hajao, ni kosa? naomba unielimishe manake inaelekea vikao vingi vya koo mbalimbali vitakuwa hatiani.
 
A leader is one who knows the
way, goes the way, and shows
the way....Just like Mr. Lema himself!
 
Mbinu za kuwadiscourage wapambanaji zinazoratibiwa na watu wa jamii ya Waberoya na Ngongo hazina nafasi tena kwa Watanzania. Kwasasa hakuna anayeongelea suala la mimba ya Lowassa au mwanamke gani sijui, watu wanaongelea ukombozi wa Mtanzania kupitia M4C pioneered by Lema and the likes!

Nyie mnaoishi kwenye past world ya kufuatilia kauli za kiswahili za uchaguzi wa 2010, sorry-charlie, the world is no longer playing to your beat!
Mbegu anayopanda Lema sasa hivi ni Ukombozi, Elimu ya uraia, kujuza haki za raia zilizosiginwa, kuhamasisha, kuamsha, na kuandaa wananchi kuchukua nchi yao!

Harakati za Lema hazitasimama kwaajili yenu, na zaidi sana hamna uwezo wa kusimamisha mishale ya saa!..Siku hazigandi.
Huo ni UJUMBE KWENU!
 
use paragraphs please
weka vituo

halafu ukweli wa Lema ni upi? kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani?? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki

Lema is just another disaster in this country1

siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CDM? halafu ndiye hero wenu?

kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CDM wameshinda?

hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!

kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!

Tambwe Hizza punguza jazba baba!
 
Kama Mungu aishivyo nawe utaishi,Ni wazi lema umewakamataCCM.nasi tutafunga nakuomba kwa ajili yako maana wewe ni tunda la Mungu.mtu awatumikiaye wenzie kwa dhati ni mtu wa Mungu.

Mungu ni pendo
 
Mbinu za kuwadiscourage wapambanaji zinazoratibiwa na watu wa jamii ya Waberoya na Ngongo hazina nafasi tena kwa Watanzania. Kwasasa hakuna anayeongelea suala la mimba ya Lowassa au mwanamke gani sijui, watu wanaongelea ukombozi wa Mtanzania kupitia M4C pioneered by Lema and the likes!

Nyie mnaoishi kwenye past world ya kufuatilia kauli za kiswahili za uchaguzi wa 2010, sorry-charlie, the world is no longer playing to your beat!
Mbegu anayopanda Lema sasa hivi ni Ukombozi, Elimu ya uraia, kujuza haki za raia zilizosiginwa, kuhamasisha, kuamsha, na kuandaa wananchi kuchukua nchi yao!

Harakati za Lema hazitasimama kwaajili yenu, na zaidi sana hamna uwezo wa kusimamisha mishale ya saa!..Siku hazigandi.
Huo ni UJUMBE KWENU!

sawa chalii
 
waberoya! karibu Mwanza. Hivi kutaja mtu aliempa mwanamke mimba ni kosa? Awe kaolewa, hajaolewa, kaoa, hajao, ni kosa? naomba unielimishe manake inaelekea vikao vingi vya koo mbalimbali vitakuwa hatiani.

vikao vya koo vinakuwa na vipaza sauti, kuwa mtu anasema mama yake nrashu ana mimba ya mwanaume yule asiye mme wake...halafu mnashangilia kwa makofi na vicheko......kashfa is how you speak not necessarily what you speak!! grow up!
 
Pamoja na hoja zako hizi zako zote hizi Wabes, sehemu moja unaposhindwa kujipambanua nikuwa ni kiasi gani gani unatarajia mambo kamilifu wengine wanaweza kuwa nayo katika harakati hizi mkuu.

Naamini katika mapungufu yetu kama watu hapo ndio ninapomsamehe Lema ila wewe na Ngongo mna-muhukumu, kuna point nyembamba sana mnaipuuzia kuwa level ya inteligency haiwezi kuwa sawa kati ya Lema na Mnyika au na Zito ila michango yao inaweza kulingana kutokana na aina ya siasa ya nchi yetu na watu wetu ila yote katika kujenga chama cha demokrasia na maendeleo (rejea harakati za M4C toka ziasisiwe).

Kwa point hii si sawa Wabes, ni lazima mrejee kwenye harakati za ujenzi wa Afrika huru enzi zile naomba mnitajie kiwango cha elimu cha Zuma na mchango wake kwa ANC.

Kwanini leo hii mnataka kulazimisha Lema awe sawa na zito au mnyika wakati na nyie ni Great Thinkers pia?
Unataka tuwe realistic? Sawa, hivi ni kweli kweli hujaona jema la Lema hata moja kweli? Naomba uniambie kuhusu msisimuko wa watu wa Atown na siasa za Atown umesababishwa na nini? Najua utataja factors zote ila ya mwisho lazima iwe Lema!

Wakuu mnaomchukia Lema lazima tukubaliane kuwa hizi ni siasa za Africa mwisho wa siku, sio haki kumpima kwa vipimo vya siasa za ulaya au America. Hebu tumpime kwa siasa za africa na sana Tanzania kwa kuzingatia uzoba wa watu wake na wa historia yake.

Hapa namaanisha katika kujenga siasa za harakati na kuwaamsha watu hawa kutoka kwenye huu uzoba na kulala (tunataka mtu wa namna gani?? Mi hapa naamini watz wanataka kiongozi wa mfano, sijui nyie)

Najua siwezi kukushawishi wewe na Ngongo juu ya hili sababu watz kwenye hizi forums huwa tuna tabia za kuweka ligi ili usionekane umefunikwa ila mjue kuwa pamoja na chuki zetu juu ya CCM, ila kuna masuala tumeamua kusamehe na kuayachukulia kuwa yalikuwa ni makosa ya taifa (Tukirejea yote ya TANU).

Namaanisha makosa ya TANU yalikuwa makubwa kuliko nyie mlivyoamua kumtundika Lema msalabani kwa makosa yake!!

Mnasahau kuwa hamna mkamilifu kati yetu sababu tu ya ubinaadamu.

Kwenye harakati za ukombozi wa taifa tunatafuta watu wenye manufaa kwenye eneo fulani na sio wenye mapungufu kwenye maeneo yote kama mnavyotaka kutuaminisha kuhusu Lema.

Mapungufu ya Lema nayachukulia kama mapungufu ya kibinaadamu ambayo tukitaka kuchimba tutayapata kwa kila mtu hata hao mnaowaaminia nyie.

Bado sijaona sababu ya kumtundika Lema msalabani kwenye harakati hizi zangu za mwisho!

Umesema mengi sana, kuna thread zangi nyingi tu ambazo nimemsifia sana Lema, na kuwa calober yake inahitajika sana nyakati hizi

sio kuwa natafuta ukamilifu ..la ...kufanya makosa ambayo yanagharimu chama, wananchi na mabadiliko kwa ujumla...hoja zake bungeni zinahitajika mno.......where is he??

ni kosa kubwa zaidi...Lema alijua anatufutwa, what made him to speak nonsense in the campaign??

acha afundwe asirudie....!!! kuna makosa hayasemeheki kirahisi na ndio maana akina andres escober walipigwa bastola alipofungisha timu yao mtu ambaye siku zote alikuwa anazuia magoli

niambie, Lema was wrong, is he regreting?? au kumtetea kwenu huku kuna mjenga au kumwongezea ujinga zaidi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom