Hata wa Ulaya na Amerika Kusini nao watatupotezea muda. Vilabu vitakuwa, lakini timu yetu ya Taifa itabaki kuwa kichwa cha mwendawazimu.
Muda uliofika ni kuwakuza wachezaji wetu wa ndani wafahamike huko Ulaya na Amerika Kusini. Timu yetu ya Taifa iingie kwenye top 10 Afrika
Kwa mgogoro wa Senegal dhidi ya Morocco kwenye fainali ya AFCON. Ni kama FIFA wameamua kumkomoa Senegal kwenye WC 2026, wamemwekea timu ngumu balaa. Makundi yote ya WC 2026, kundi lake ndiyo gumu kuliko yote.
Kutafuta biashara na kukaa kwenye mfereji, inatakiwa uwe mtaalam wa location. Ukiiona location, ukiwa location, unajua kabisa kwamba location hii inatakiwa biashara fulani.
Mwanamke anakua na wanaume wengi siyo kwasababu ya ngono kwa kila mwanaume, ila kila mwanaume ana kazi yake. Tofauti na sisi wanaume, tuna wanawake wengi kwa ajili ya ngono tu.
Mwanamke mwenye wanaume wengi, kila mwanaume ana kazi yake. Kuna wa kumpiga miti mpaka aridhike, kuna wa kumpigisha...
Huu uzi una madini. Sisi majobless na tuliojiajiri tunajifunza vitu vingi.
Principles za humu za jinsi ya kujitangaza na kujipandisha thamani zina-apply hadi vijiweni, majumbani na mitaani
Kampuni za Kichina hizo zinajitafuta zije zikue walau zipate ukubwa kama wa Transsion Holdings (TECNO, itel na Infinix).
Hapa Tanzania nimeshaziona brands za Bundy, Q-Seven na Momofly.
Waislam wanavutia upande wao, na Wakristo wanavutia upande wao.
Waislam wanasema huendi peponi mpaka uwe muislam, na Wakristo wanasema huendi mbinguni mpaka uwe mkristo.
Nachoka kwelikweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.