Recent content by Heavy User

  1. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Ni Timu gani ya Taifa utakuwa unaishabikia katika Kombe la Dunia 2026?

    Hii timu usharo mwingi. Washalewa umaarufu. Baada ya kucheza kwa kazikazi. Wao uwanjani wanakimbia kwa madaha
  2. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu ni kwamba umebakisha kushuhudia Marais wawili tu wa Tanzania

    Dunia tamu jama!. Ila kifo kinakatisha starehe ya kuifaidi dunia. Moyo unauma unaiacha dunia, moyo unauma unaacha warembo wazuriwazuri, unaacha familia inayojivunia wewe, unaacha vyakula vitamu unavyopenda, unaacha vinywaji vitamu, unaacha simu kalikali, unaacha ma-tablet makali, unaacha...
  3. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Kutafuta biashara na kukaa kwenye mfereji, inatakiwa uwe mtaalam wa location. Ukiiona location, ukiwa location, unajua kabisa kwamba location hii inatakiwa biashara fulani.
  4. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    Umri kukimbia kunakosesha raha. Ndiyo maana sitakagi hata kujiangalia kwenye kioo.
  5. Heavy User

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila ninapotaka tutoke pamoja, Mpenzi wangu anakataa kuongozana nami. Nifanyaje?

    Mwanamke anakua na wanaume wengi siyo kwasababu ya ngono kwa kila mwanaume, ila kila mwanaume ana kazi yake. Tofauti na sisi wanaume, tuna wanawake wengi kwa ajili ya ngono tu. Mwanamke mwenye wanaume wengi, kila mwanaume ana kazi yake. Kuna wa kumpiga miti mpaka aridhike, kuna wa kumpigisha...
  6. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Kwanini 'Wachapakazi Hodari' wanaishia kuwa punda wa ofisi, Huku 'Wambea' Wakipanda Vyeo?

    Huu uzi una madini. Sisi majobless na tuliojiajiri tunajifunza vitu vingi. Principles za humu za jinsi ya kujitangaza na kujipandisha thamani zina-apply hadi vijiweni, majumbani na mitaani
  7. Heavy User

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni kweli mwanaume unajua kuwa chakula hiki hakikupikwa na mke wako?

    Nimekaa na mama Chibonge hapa. Huu uzi umenifanya nigeuke nimtazame
  8. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Kimsingi Kuna faida Kubwa sana kumsomesha mwanao high-class school kama una uwezo

    Dah! Nimecheka kiboya kweli.
  9. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Aina 21 ya simu zilizopigwa marufuku nchini Kenya, kupenyezwa Tanzania ili kuepuka hasara ya wafanyabiashara?

    Kampuni za Kichina hizo zinajitafuta zije zikue walau zipate ukubwa kama wa Transsion Holdings (TECNO, itel na Infinix). Hapa Tanzania nimeshaziona brands za Bundy, Q-Seven na Momofly.
  10. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Wakristo na waislamu katika hili nani ni mkweli kati yenu?

    Waislam wanavutia upande wao, na Wakristo wanavutia upande wao. Waislam wanasema huendi peponi mpaka uwe muislam, na Wakristo wanasema huendi mbinguni mpaka uwe mkristo. Nachoka kwelikweli.
  11. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Vijana nunueni ardhi hata kama ni mashamba. Dunia sio muda inaenda kupitia mabadiliko makubwa

    Ina faida kubwa kama sehemu unayonunua, miaka michache mbeleni patakuja kuwa majengo makubwa ya biashara, au mzunguko mkubwa wa watu. Kujua mipango miji ya mbeleni ya sehemu fulani, inatakiwa ufahamishwe na wazoefu wa ardhi. Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa msemo wa "ukitaka kufanikiwa...
  12. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Ushahidi wa Aviator Hack

    Kwa wapenzi wa michezo, ni kawaida kufuatilia/kujua sports betting na online casinos. Nimeshazunguka sana kwenye social media groups za online casinos hasa ya aviator. Kiukweli hakuna cha sure signal generator, admins wanawatafuta wajinga wawapige. Ukiona unaitiwa fursa, ujue watu wanataka...
  13. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Nauza bando za Halotel kwa bei nafuu

    fungua group la whatsapp, watu wajiunge waangalie shuhuda. utapata wateja mpaka utawakimbia
  14. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Wasaidizi kufungua biashara ndani ya biashara kunaua biashara nyingi sana, kijana anadai mshahara kila mwezi kumbe anakuibia mamilioni

    Baada ya kufanya mikazi migumu kwa muda mrefu. Unaona hii mikazi inaniumiza, nachoka sana. Unaamua kudunduliza mtaji kutoka kwenye kipato cha mikazi migumu ili uanze kufanya biashara uachane na mikazi migumu. Unaona kwamba kwasababu umepigika sana kwenye mikazi migumu, basi umwajiri kijana...
  15. Heavy User

    JamiiForums Tanzania Wenye hela wananishangaza. Maajabu hayaishi duniani

    Hiyo hali wengi tunayo. Ni dalili ya uvivu wa mwili kukataa kwenda kufanya kibarua/kazi usiyoipenda. Dawa yake ni kubadili kazi ambayo utaikubali. Kujishauri kuamka asubuhi kutaisha.
Back
Top Bottom