Kutafuta biashara na kukaa kwenye mfereji, inatakiwa uwe mtaalam wa location. Ukiiona location, ukiwa location, unajua kabisa kwamba location hii inatakiwa biashara fulani.
Mwanamke anakua na wanaume wengi siyo kwasababu ya ngono kwa kila mwanaume, ila kila mwanaume ana kazi yake. Tofauti na sisi wanaume, tuna wanawake wengi kwa ajili ya ngono tu.
Mwanamke mwenye wanaume wengi, kila mwanaume ana kazi yake. Kuna wa kumpiga miti mpaka aridhike, kuna wa kumpigisha...
Huu uzi una madini. Sisi majobless na tuliojiajiri tunajifunza vitu vingi.
Principles za humu za jinsi ya kujitangaza na kujipandisha thamani zina-apply hadi vijiweni, majumbani na mitaani
Kampuni za Kichina hizo zinajitafuta zije zikue walau zipate ukubwa kama wa Transsion Holdings (TECNO, itel na Infinix).
Hapa Tanzania nimeshaziona brands za Bundy, Q-Seven na Momofly.
Waislam wanavutia upande wao, na Wakristo wanavutia upande wao.
Waislam wanasema huendi peponi mpaka uwe muislam, na Wakristo wanasema huendi mbinguni mpaka uwe mkristo.
Nachoka kwelikweli.
Ina faida kubwa kama sehemu unayonunua, miaka michache mbeleni patakuja kuwa majengo makubwa ya biashara, au mzunguko mkubwa wa watu.
Kujua mipango miji ya mbeleni ya sehemu fulani, inatakiwa ufahamishwe na wazoefu wa ardhi.
Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa msemo wa "ukitaka kufanikiwa...
Kwa wapenzi wa michezo, ni kawaida kufuatilia/kujua sports betting na online casinos.
Nimeshazunguka sana kwenye social media groups za online casinos hasa ya aviator. Kiukweli hakuna cha sure signal generator, admins wanawatafuta wajinga wawapige.
Ukiona unaitiwa fursa, ujue watu wanataka...
Baada ya kufanya mikazi migumu kwa muda mrefu. Unaona hii mikazi inaniumiza, nachoka sana.
Unaamua kudunduliza mtaji kutoka kwenye kipato cha mikazi migumu ili uanze kufanya biashara uachane na mikazi migumu.
Unaona kwamba kwasababu umepigika sana kwenye mikazi migumu, basi umwajiri kijana...
Hiyo hali wengi tunayo. Ni dalili ya uvivu wa mwili kukataa kwenda kufanya kibarua/kazi usiyoipenda.
Dawa yake ni kubadili kazi ambayo utaikubali. Kujishauri kuamka asubuhi kutaisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.