It is Ok kuuliza,inawezekana kweli unajali .... Lkn
Ukishaambiwa Nipo sehem flan nafanya kitu flan, unakua muelewa au unakua mbinafsi?
Mfano... Nipo bar flan naangalia mpira na ww upo home umewasha TV unaangalia mpira huohuo... Unakua muelewa
Mmetoka harusin saa 6 usk.... Mmeingia hotel ukakutana na mauza uza mkabishana takriban masaa 3.... Inakua saa 9 usk alaf baadae simu inapigwa mida ya saa 8 usk Sam anaenda kuongelea pemben Kisha anakuomba msamaha........ Lkn story n tamu ngoja nisubili uje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.