Kwa template za hao jamaa huwa ni ngumu; ila kwenye tech hakuna kinashindikana ngoja wanakuja. Ilaa kwa nini usinunue ili kupata option ya kutoa footer credit? na kama haununui kwanini usiache hivyo ili kusupport aliyekutengenezea?
Ili kupokea mzigo wako posta kuna ile karatasi wanaiacha kwenye box uliloagizia hivyo ni muhimu kuwa na box. Kama wewe hauna box omba la ndugu/rafiki na kama ikishindikana omba hata la kanisani/msikitini kwako na uwasiliane na anayehusika na ufunguo wa posta ili mzigo wako ukifika iwe rahisi...
Unataka kuambiwa utapata 1m wakati hujajua hiyo milion moja unaipataje? Mwisho wasiku unaikimbia hiyo youtube mana utajikuta una Views 100,000 lakini ukiangalia Earning haifiki hata 10$
Nilicho kigundua ni watu kutaka majibu mepesi bila kuonyeshwa njia ya jibu lilivyopatikana. Kwa mwendo huu ndomana adsense nyingi Tanzania huwa zinakula Ban kwa kutaka majibu mepesi.
Mwazoni ni kama 50,000+ ila baada ya hapo malipo kwa mwaka ni madogo sana.... Nakushauri kama unaharaka utumie anuani ya mtu mwenye box tayari huku ukifuatilia lakwako.
Kwa ushauri wangu ungetangaza kwanza Fb Page, Kama ukianza kutangaza tovuti inamana mtu atakapoona tangazo ataingia kwenye tovuti akitoka atasahau kurudi tena au hata akirudi ni mara moja kwa bahati.
Unajua ni kwanini nakwambia uanze kutangaza Fb page?
Mfano ukitangaza watu wa like inamaanisha...
Mweleweshe Mwenzako kuwa pia kutumia hiyo safaricom inahitaji umakini wakati wa kutumia. Anapaswa wakati wakutumia Location abadili kuwa kenya kwenye kifaa chake pamoja na GPS. Lasivyo Paypal wana ifungia fasta.
Kwa mimi ninavyoona inapunguza wingi wa maneno
Mfano kama domain yako ni
john.co.tz
john.tz ndo itakavyokuwa
Mtumiaji ataikumbuka kwa urahisi zaidi kuliko hiyo ya .co.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.