Vodacom kufuta vifurushi vya Uni Offer

Vodacom kufuta vifurushi vya Uni Offer

Nimekuwa na Vodacom Tanzania kwa miaka 17...

Lakini nishasepa kimya kimya baada ya upuuzi wa kuweka GB 1.2 kwa 3000.

Kama vipi Wangepunguza dk na mb waziache kama zilivyo.
 
Kabisa Voda ni m pesa tu
Inabdi niulize tu maana sasa Voda hawazingui ilaa hawa wapuuzi wanaotumia voda hadi leo huku wanalalamika ndo wanakera maana wamekuwa wengi balaa...!! Voda tumia kwa mpesa tu labdaaa
 
Vodacom is more of a corporate telecom network, hivyo haipendelei sana wateja wa kipato cha chini. Labda kwa airtel, tigo na halotel. Binafsi nachagua kutumia TTCL na Vodacom
 
Vodacom kama mnausoma huu uzi inabidi mrudishe vifurushi vya uni offer,wateja wenu wanalalamika,muda si mrefu mtakosa watumiaji maana tunahamia mitandao mingine

RUDISHENI VIFURUSHI VYA UNI OFFER

Unawaomba au unawalazimisha? Tuanzie hapa Kwanza.
 
Nimekua natumia huduma ya vodacom mastercard kwa muda sasa kwaajili ya kufanya malipo mbali mbali kupitia mtandao wa paypal lakini tangu juzi kila nikijaza details za card kwaajili ya kuadd card kweny account yangu ya paypal inafeli kama inavyoonyesha hapa chini.Nikajaribu kufuta card nilokua nayo na ku create nyingine lakin bado tatizo ni hilohilo.Kwa mwenye ufumbuzi juu ya tatizo kama hili naomba anisaidie

PayPal  Wallet.jpg
 
Nimekua natumia huduma ya vodacom mastercard kwa muda sasa kwaajili ya kufanya malipo mbali mbali kupitia mtandao wa paypal lakini tangu juzi kila nikijaza details za card kwaajili ya kuadd card kweny account yangu ya paypal inafeli kama inavyoonyesha hapa chini.Nikajaribu kufuta card nilokua nayo na ku create nyingine lakin bado tatizo ni hilohilo.Kwa mwenye ufumbuzi juu ya tatizo kama hili naomba anisaidie

Card yako ina walau 1$ ? kama haina weka pesa kisha jaribu tena.
 
Back
Top Bottom