Recent content by HB.com

  1. HB.com

    Wakuu Hivi injini ya pikipiki inapakwa rangi?

    Jamani msaada, nina ka TVS kangu kamechakaa sana je naweza nikakapaka rangi na ni rangi gani nzuri? Nataka nipake sehemu zote injini hadi chassis
  2. HB.com

    Ndani ya dilemma

    Vipi mlioana?
  3. HB.com

    Msaada: Infinix Note 30 5G haipandishi mtandao wa aina yoyote

    Kabisa mkuu shida ni kwamba hata simu hapokei, akigundua kua ni Mimi anakata simu
  4. HB.com

    Msaada: Infinix Note 30 5G haipandishi mtandao wa aina yoyote

    Nimejaribu lakini wapi Bado mtandao haupandi
  5. HB.com

    Msaada: Infinix Note 30 5G haipandishi mtandao wa aina yoyote

    Nina Infinix Note 30 5g Changamoto ni kwamba haipandishi mtandao wa aina yoyote naombeni msaada wenu wataalamu.
  6. HB.com

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jamani nataka nijifunze kubet sielewi naanzia wapi, msaada wenu tafadhali
  7. HB.com

    Naitabiria Yanga mafanikio zaidi ya Simba msimu wa 2023-2024

    We choko Kila post unaweka Hilo likomenti lako acha ufala Upinde wewe
  8. HB.com

    Naomba kujuzwa hali ya maisha na fursa kati ya bumbuli (mombo) na kondoa dc

    Sema mnakalili Sana maisha..... Sasa huyo mwl anayelipwa 420k niwadaraja Gani??
  9. HB.com

    Utafiti wangu: 'Massage Parlour' ni zaidi ya maduka ya ngono

    Ngoja niufufue huu Uzi wadau watiririke nao
Back
Top Bottom