Unatumia Lain ganNina Infinix note 30 5g Changamoto ni kwamba haipandishi mtandao WA aina yoyote naombeni msaada wenu wataalamu
Chanzo tafadhaliNina Infinix note 30 5g Changamoto ni kwamba haipandishi mtandao WA aina yoyote naombeni msaada wenu wataalamu
mmm utanunuaje simu mbovu bana mrudishie mwnyeweNimeinunua ikiwa hivyo
mmm pole hapo umepigwa hakuna settings zitakazo sababisha mnara ujeKabisa mkuu shida ni kwamba hata simu hapokei, akigundua kua ni Mimi anakata simu
😅🖖🏾Infinix,Tecno na itel ni kampuni zilizokuja kujifunza afrika kuzalisha simu Kisha kutafuta soko ulaya zikifanikiwa
Ina warrant?Nimeinunua ikiwa hivyo
🤣 🤣 🤣 🤣Infinix,Tecno na itel ni kampuni zilizokuja kujifunza afrika kuzalisha simu Kisha kutafuta soko ulaya zikifanikiwa
Kama hapa ina warrant rudisha dukani, akigoma kupokea nenda MahakamaniNdio
kama ina warrant irudisheNdio
Ofisini kwake hupajui? Mpelekee ofisini ama humjui mlikutana barabarani?Kabisa mkuu shida ni kwamba hata simu hapokei, akigundua kua ni Mimi anakata simu
IrudisheNimeinunua ikiwa hivyo