Inasikitisha sana katika familia zetu tuna wazee tunahangaika nao sisi wenyewe hatujawahi kupata au kuomba msaada kwa mtu au taasisi yyte ile
Hii sio haki ni dhulma kwa wafanyakazi wanyonge ambao wanalipwa mishahara midogo na kushindwa kujiwekea akiba na leo akiba alinayo kwenye mifuko ya jamii...
Uvivu wa kufikiri inamaana kwa hayo waliyoyafanya ndio iwe halali kwa wao kuvunja sheria na kutenda yasiyofaa au walifanya hayo ili wasiguswe na sheria pindi wanapotenda uhalifu?
Ni aibu kubwa na ndio sababu kubwa ya bidhaa zetu kukosa masoko nje.
Sijui ujinga huu utatuisha lini watanzania watu wanaangalia kupata leo tu hawaangalii madhara ya kufanya hivyo nini kitatokea kesho.
Binafsi nachukizwa sana na tabia hii mimi nafanya kazi katika kampuni ya ununuzi wa mazao...
Wapo wanafunzi ambao tunawafahamu wamepewa mikopo ilihali wazazi nawalezi wanaouwezo wakuwalipia ada kwani wamewasomesha kwa ada kubwa secondary mpaka millioni 8 kwa mwaka
pia wapo wanafunzi ambao walipiga simu bodi ya mikopo na kuulizia kama majina yao yameshaorodheshwa kupewa mkopo na...
Katika hili mheshimiwa rais yuko sahihi namuunga mkono kwa 100%
Wafanyakazi wengi katika maeneo mengi ufanisi bado ni mdogo ingawa kunamabadiliko kiasi fulani ongezeni juhudi
Fukuza takataka hiyo kosa hilo halihitaji ushauri wala msamaha kinachotakiwa ni ushahidi uliokamilika na kufanya maamuzi basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika imani na mafundisho ya kidini tunaambiwa dhambi ya unafiki na usaliti ni mbaya kuliko dhambi ya kuua nafsi
Ataiuwa cuf lakini hatoweza kufuta kile ambacho wana cuf wamekiamini na kukisimamia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni heshima kubwa kwa nchi yetu kupata kiongozi mzalendo kama rais wetu mh. John P. Magufuli
Binafsi umri wangu wa kupiga kura ulianza mwaka 95 ambao ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nikiwa muumini mtiifu wa mabadiliko kwa chaguzi zote
Binafsi baada ya kuguswa na utendaji wa rais wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.