Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,056
Jitie upofu tu hujui Tanesco imedumaa kwa nini, watu kama wewe kama kweli mbinguni kuna moto mtageuzwa kuni za kuwachomea wanafki wenzako wa ccm.Tutashitakiwa Tutashitashitakiwa
Jitie upofu tu hujui Tanesco imedumaa kwa nini, watu kama wewe kama kweli mbinguni kuna moto mtageuzwa kuni za kuwachomea wanafki wenzako wa ccm.Tutashitakiwa Tutashitashitakiwa
mtashitakiwa kweli endapo mtakaa kwenye majadiliano mkaenda kuikataa mikataba yenu iliyopitishwa na wabunge wa ndiyoooo.. lazima mshitakiwe kwani nyinyi mlipitisha mikataba mibovu makusudi ili baada mpige 10% huku mkijua ipo siku kitanuka msipoelewana mtashitakiana na Wajanja wa CCM napo watapiga pesa, yaani CCM kote wanapiga pesa kwenye kushitakiana wanajua wazungu watashinda kulingana na mikataba mibovu huko pia Wajanja wa CCM wana 10% zao na kwenda malidhiano pindi wakikaa vikao napo CCM wana 10% zao hakuna sehemu CCM hawapigi pesa, Daud Bashite yupo busy kuandaa skendo na matukio mbalimbali ili watanzania wamsahau apete Mpaka 2020Tutashitakiwa Tutashitashitakiwa
Wanafiki hawathubutu kufukua uozo hata siku moja maana waliyavundisha wenyewe sasa wanayaogopa na kutuletea viini macho huku wakitaka tuamini hata visivyoaminika.hivi ni nani aliingia mkataba kusafirisha huo mchanga??
1.Chenge
2.Kikwete
3.Karamagi
4.Ngereja
5.Mkapa
6.Muhongo
Fukueni na la kuuza nyumba za serikari!! au mpaka astaafu???
Kujidaganya ili kupata usingizi.17% ya chadema na 71% ya JPM ilikuwa kabla ya sakata la mchanga! Tegemea chadema kuwa na 3% sasa hivi na 94% kwa JPM!
na jana kaenda huko Canada kuweka Dili sawaView attachment 525545
Pichani ni mbunge Tundu Lisu akiwa nchini Canada yalipo makao makuu ya Barrick ambapo licha ya asili yake kufananishwa na nyani lakini alipewa mapokezi ya kifalme.
Only people with brain can understand this photo.
Nasubiria noah yangu.Ha haaa haaaa umekaa mkao wa kupokea trillion 108!
Mtoa post ni msukule pale LumumbaWatu kama mtoa post huwa wanakuwa WACHAWI uzeeni
Ushakula ban,ukirudi utakuwa na adabuNgoja nyumbu waje sasa
Hivi huna kitu chakufanya? Kila siku kutwa unahangaika kwenye mitandao!Huku Mtaani CHADEMA wamekosa Umaarufu mtaani wameshapata Usemi kuwa CHADEMA Wanashirikiana na Mafisadi.
Hivi karibuni ripoti za Mchanga zimekifuta chama cha CHADEMA and bouncing back is Unlikely na Uchaguzi wa 2020 mtapoteza Wabunge wengi na 2025 chama kitakua kimesahaulika miongoni mwa watanzania.
Nawashukuru wananchi wanamuunga Mkono Rais Magufuli kwa juhudi zake za Kulinda Rasilimali za Nchi.
View attachment 525537
Mkuu kutoa mlolongo wa viongozi sio kujibu hoja ilio mezani.hivi ni nani aliingia mkataba kusafirisha huo mchanga??
1.Chenge
2.Kikwete
3.Karamagi
4.Ngereja
5.Mkapa
6.Muhongo
Fukueni na la kuuza nyumba za serikari!! au mpaka astaafu???
Huku Mtaani CHADEMA wamekosa Umaarufu mtaani wameshapata Usemi kuwa CHADEMA Wanashirikiana na Mafisadi.
Hivi karibuni ripoti za Mchanga zimekifuta chama cha CHADEMA and bouncing back is Unlikely na Uchaguzi wa 2020 mtapoteza Wabunge wengi na 2025 chama kitakua kimesahaulika miongoni mwa watanzania.
Nawashukuru wananchi wanamuunga Mkono Rais Magufuli kwa juhudi zake za Kulinda Rasilimali za Nchi.
View attachment 525537
Huku Mtaani CHADEMA wamekosa Umaarufu mtaani wameshapata Usemi kuwa CHADEMA Wanashirikiana na Mafisadi.
Hivi karibuni ripoti za Mchanga zimekifuta chama cha CHADEMA and bouncing back is Unlikely na Uchaguzi wa 2020 mtapoteza Wabunge wengi na 2025 chama kitakua kimesahaulika miongoni mwa watanzania.
Nawashukuru wananchi wanamuunga Mkono Rais Magufuli kwa juhudi zake za Kulinda Rasilimali za Nchi.
View attachment 525537
Kweli aisee. Namuona Lisu anachechemea akijaribu kusimama lakini wapi. Zitto naye hivyo hivyo amebaki kukoroma tu.Huku Mtaani CHADEMA wamekosa Umaarufu mtaani wameshapata Usemi kuwa CHADEMA Wanashirikiana na Mafisadi.
Hivi karibuni ripoti za Mchanga zimekifuta chama cha CHADEMA and bouncing back is Unlikely na Uchaguzi wa 2020 mtapoteza Wabunge wengi na 2025 chama kitakua kimesahaulika miongoni mwa watanzania.
Nawashukuru wananchi wanamuunga Mkono Rais Magufuli kwa juhudi zake za Kulinda Rasilimali za Nchi.
View attachment 525537
Reminder: Mrahaba waliosani maccm kwenye madini yetu ni 4% tu ndio gawiwo letu halali.Mwenye macho ha
ambiwi tazama mleta uzi jitafakari waliosaini na waliopitisha kwa wingi wao wa ndio bado unathubutu kuisema chadema