Recent content by havumilakiniyumo

  1. H

    Kenya-Tanzania Ties Strain Over Uganda Trade Deal

    hakuna cha ku be exposed zaidi yako hapo wewe , ni katabia tu ka watu wengine ka kujiona mimi ninajua zaidi ya yule, japo in reality, hajui kitu ni mburura tuuu!!
  2. H

    Ubaguzi Bodi ya mapato Zanzibar (ZRB)

    duu! hivi huu muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar sometimes mambo mengine hayaeleweki vizuri hivyo unaweza kuwa 'paradox'. lakini kwa ufupi nilichoelewa hapo ni kuwa TRA inafanya zile kazi kwa tanzania yote lakini kwa zanzibar kuna hiyo ZRA pia ambayo ni mahsusi kwa zanzibar tu.
  3. H

    Rais Magufuli, this is serious. Tafadhali usiruhusu hili!

    cha msingi kila mtu atimize wajibu wake. kwa bahati mbaya, kinyume na hapo ukitumbuliwa usidai kwa nini usitumbuliwe kistaarabu. but unaweza pia kutumbuliwa kimakosa. jua au chukulia ni ajali kazini. muda huo wa kutumbuana kistaarabu haupo, watu wako bize hapa, ni kazi tuuu! kwa nini wewe...
  4. H

    Kazi imeisha: Ugandan experts explain choice of Tanzania for pipeline route

    welldone! hongereni watanzania japo deal lilishaanza kutiwa mchanga na wakenya kama kawaida yao. hawa majirani zetu wanatuandama sana! sijui tuliwakosea nini.
  5. H

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Ofisi za ardhi Manispaa ya Mtwara mikindani ni jipu la kupasuliwa haraka kwa kuwa limeiva. Hawa jamaa wanadai rushwa balaa! Kwa mfano ukitaka ufanyiwe kazi yako lazima utoe pesa, huwezi kufuata taratibu zilizopo ukafanikiwa kwa kuwa watakukwamisha tu... Ni kuanzia vitengo vyote kwa kuwa...
  6. H

    Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

    Duuh mbona mdogo sana!!!! wengine mbona tunaambiwa wanalipwa mil 36. ina maana ni mabosi wa raisi?
  7. H

    Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania

    serikali ifanye uamuzi haraka wa kuitisha kikao cha dharura cha bunge au baraza la mawaziri kujadili suala hili ili tujikwamue. hawa wazungu wanafiki wameshaamua kuharibu, lazima tujue tutatokaje hapa.
  8. H

    Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania

    pamoja na kuwa hii misaada yao ni ya muhimu, lakini kuwanyenyekea hawa wazungu ina karaha jamani nyie acheni tu!! wanatudharau sana.Watanzania tufanye kazi kwa bidii tuachane na utegemezi jamani, watatuingilia mambo yetu mpaka basi. hawa wazungu ni wanafiki wakubwa, kama umegundua unafiki wao...
  9. H

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Naombeni wadau kuuliza kama kuna utaratibu wowote wa kuanzisha nyumba za ibada maeneo mbalimbali. Nasema hivi kwa kuwa kwa sasa mtu ukiamua hata kufungua kanisa au msikiti sebuleni mwako watu wanakuja wanapata ibada. Mimi naona kama ni kero kuwa kwa jamii kwa sasa.
  10. H

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Ni kwanini miji mingi hapa Tanzania kuna maeneo mengi yamejengwa kiholela? Nadhani serikali imeajiri maafisa ardhi katika Halmashauri. Je, kazi yao ni nini? Miji mingi haipendezi, imejengwa kiholela sana. Mfano, DSM ukiona maeneo mengi utadhani ni mahindi yamechanganywa na kunde, maharage...
  11. H

    Serikali ya Tanzania kuingiza nchini ndege 2 za kisasa kutoka Canada ndani ya siku 60

    Changamoto mojawapo inayotakiwa kushughulikia kwa gharama yoyote ni kuhusu hujuma zinazofanywa na haya mashirika ya ndege ya nchi jirani dhidi ya mashirika ya ndege hapa TANZANIA. Wengi mtakubaliana na mimi kuwa, si kwa mashirika ya ndege tu hujuma hizi zinafanyika, bali hata viwanda mbalimbali...
  12. H

    Uchaguzi Zanzibar: Dr. Ali Mohammed Shein atangazwa Rais wa Zanzibar

    haya mambo ni magumu sana! katika uchaguzi wa mwaka jana nimejifunza mambo mengi, lakini moja kubwa ni kuwa watanzania tunahitaji umoja, mshikamano wetu tuulinde kwa gharama yoyote. watu kadhaa walijitahidi na wanaendelea kujitahidi kuwagawa watu kwa itikadi za kisiasa, ukabila, udini, ukanda...
  13. H

    Mheshimiwa Rais utatumbua jipu la katiba mpya (Sauti yetu) lini?

    katiba mpya sidhani kama ni kipaumbele cha serikali hii iliyopo madarakani! But ni kitu cha msingi kama watanzania wanaona umuhimu wa katiba mpya basi wangepewa.
Back
Top Bottom