Recent content by haule66

  1. H

    Feisal ndiyo amewaharibia zaidi wachezaji Wazawa

    Tatizo hapa hakuna anayemwonea dongo Feisal. Shida ni namna anavyotoka na utaratibu alioutumia sio sahihi. Kumtafuta good pasture ni halali yake. Na wabongo tunatereza hapo tunapenda sana shortcuts. Ukiwa mtu wa kufuata taratibu utaheshimika vinginevyo unadharaurika na kuonekana wa hovyo tu.
  2. H

    Uhasama bungeni: Jumuiya ya wabunge wakatoliki yavunjika

    Makosa ya mtu binafsi yatahusianaje na Kanisa zima?
  3. H

    Mkakati wa kummaliza Askofu Gwajima huu hapa!

    Gwajima amejitakia mwenyewe. Anapata malipo ya kazi yake kila mtu hupata ujira wa ayafanyayo kwa namna yake.
  4. H

    ACT Tanzania wamepata wapi pesa za promo star Tv?

    Ulitaka ACT mfu? Lipi jema kwako? Ulitaka ifaanywe harambee kama cdm. Kumbe nyuma ya pazia kuna sura tofauti???
  5. H

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    C sahihi sana kutoa matusi kwenye jukwaa la mawazo huru. Pia moderator ni utamaduni mpya wa kutoa matusi kwa mawazo pingana?
  6. H

    N. Korea vows 'merciless' war against US

    Naamini huyu jamaa anajitambua. Ndoo maana hashabikii Hawa wakoloni weupe.
  7. H

    John Mnyika - Mkurugenzi wa habari na uenezi wa CHADEMA asiye na maadili

    Huu ndo msimamo wa chadema kuwatukana marehemu? Huu ni utamaduni mpya. Siamini kama unatokana na utandawazi.
  8. H

    Kanisa la Kunduchi-Salasala laungua kwa radi

    luhala Imani ina uhusiano gani na CCM
  9. H

    Pinda, kuwa muungwana na jasiri ujiuzulu

    Wahuni hawawezi kuchekewa wavuruge utamaduni wetu na utawala wa sheria.
  10. H

    Prof. Muhongo: Sijiuzulu sakata la Escrow vinginevyo ardhi ya Tanzania itatikisika

    Jamani tusubili PAC si kila jambo lipatalo support ya wengi ni la ukweli "Inawezekana Prof. MUHONGO anazo facts" Ngoja tusubili ukweli utadhihiri.
  11. H

    Kampuni ya PAP yakanusha kumilikiwa na familia ya Rais Kikwete, Yataja wamiliki Wake Halali

    Kuna hoja mbele yako ichangie kama una kitu cha kuchangia kama huna iache waachie wenye ujuzi na taarifa nayo waelimishe wengine na kutujuza tusio na taarifa nayo
  12. H

    Kampuni ya PAP yakanusha kumilikiwa na familia ya Rais Kikwete, Yataja wamiliki Wake Halali

    Moderator hii culture ya matusi ni ya forum hii?
  13. H

    Vladimir Putin quit the G20 summit in Brisbane early saying he needed to get back to work in Moscow

    Nadhani Putin ni Rais anayefaa kuigwa hababaishwi na vikwazo vyao US na EU. na atawasumbua sana wazungu wenzake. hajikombi kombi kama marais wa kiafrika
  14. H

    Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

    Hii ni hatari kama tutawachekea hawa jamaa ni wauwaji
  15. H

    JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

    Mi naamini Peter Kayanda Mizengo Pinda angechaguliwa. Mwadilifu
Back
Top Bottom