Recent content by hashylove

  1. H

    Ushauri unahitajika

    Toka ajifungue ameshapata hedhi? kama amepata na yupo kwenye siku za hatari anaweza shika mimba Kwa kawaida mama akitoka kujifungua mfumo wa uzazi na hormone zinaludi kwenye hali yake ya kawaida kwa muda wa wiki 6 mpaka 8
  2. H

    Nahisi nina gundu la mapenzi kabisa

    Kwanza tafuta pesa mkuu,badili muonekano na mienendo huenda tabia na general appearance inakuharibia
  3. H

    Majina ya wadada husadifu yaliyomo

    Itabidi nifanye uchunguzi
  4. H

    Siku nisiyoisahau milele

    Mimi napita tu
  5. H

    Mwana kulitafuta mwana kulipata

    Kama hizo chati za zamani kabla hamjaoana mueleweshe maana uzuri wa mitandao inaonyesha detail zote (mwaka mpaka tarehe ) Na kama ulifanya kipindi mpo kwenye ndoa hana imani na wewe hata kama hao wanawake hujawahi kukutana nao yaani ni ngumu kumshauri akaelewa kua makini mkuu unaweza...
  6. H

    Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

    Duuh aisee ninavyopenda mishkaki sijui kama wamenikosa
  7. H

    Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

    Fanya mpango utafute chumba uhame hujajistukia tu
Back
Top Bottom