Toka ajifungue ameshapata hedhi? kama amepata na yupo kwenye siku za hatari anaweza shika mimba
Kwa kawaida mama akitoka kujifungua mfumo wa uzazi na hormone zinaludi kwenye hali yake ya kawaida kwa muda wa wiki 6 mpaka 8
Kama hizo chati za zamani kabla hamjaoana mueleweshe maana uzuri wa mitandao inaonyesha detail zote (mwaka mpaka tarehe )
Na kama ulifanya kipindi mpo kwenye ndoa hana imani na wewe hata kama hao wanawake hujawahi kukutana nao yaani ni ngumu kumshauri akaelewa
kua makini mkuu unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.