NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,281
- 24,064
Alafu wanaradha bwana asikwambie ntu.ni watamu balaa
Nalijua vizuri mkuuMtoa mada sijajua kama umetoa mada kufurahisha jukwaa au vinginevyo, ila sio vzr kuelezea tabia za kabila ambalo huna ufahamu nalo!
Maana sifa nyingi ulizozitaja sio za kweli!
Duuhok mkuu ngoja kuna kademu hapa ka Iringa niende nikakaonje utamu wake
Unataka na mimi nizijue sifa za mabinti wa Iringa?
hata mm kuna binti wa kingindo ni rafiq yanguNaomba na sifa za wanawake wa kingindo kwa anae jua!! Nlikutana na moto ukaniunguza kisawa sawa nikatimua mazima!
Umejuaje kwamba Wakinga ni wachawi ?,Nani amekwambia?.Wakinga ni wachawi sana.
Wahehe ni wavumilivu sana.
Hata house girls wa kihehe wanadumu sana majumbani.
Hiyo ipo wazi haiitaji kuundwa kwa tume ili kuchunguza.Umejuaje kwamba Wakinga ni wachawi ?,Nani amekwambia?.
Acha kuchafua makabila ya watu bhana.Hiyo ipo wazi haiitaji kuundwa kwa tume ili kuchunguza.
Duh kaa nao mbali kabisa,ni wachawi,wanaongea sana bila breki.Naomba na sifa za wanawake wa kingindo kwa anae jua!! Nlikutana na moto ukaniunguza kisawa sawa nikatimua mazima!
Kwahiyo kwako ni bora akitoka kulimwaga kojo,atoke bila ya kuchamba?...USAF
USAFI WA KUJIOSHA NA MAJI BAADA YA HAJA NDOGO UPO USWAHILINI. Kule porini kuna maji? Huko shamba kuna maji? MIMI HUWA NAONA KINYAA SANA MTU ANAINGIA CHOONI HAKUNA SABUNI ANAJIMWAGIA MAJI NA KOPO halafu anarudi kuendelea na kupika eti ni usafi ptuuu. Ugonjwa wa UTI kwa wingi. NI UCHAFU KWANI HAKUNA SABUNI 80% wanajiosha bila sabuni. Wa mwambao ndio kazi yao na UTI inaweza ikawa kwa wingi maeneo hayo
Duuuuuuuuh very true boss hongera kwa comment yenye content!!hicho ulichokiongea hakina utofauti kabisa na ex wngu yani ni matatizo yule mwanamke looh!!!Duh kaa nao mbali kabisa,ni wachawi,wanaongea sana bila breki.
Hawana staha kumuheshimu mme