Hata mimi ningedai figo yangu.
Kuna vitu kuvitoa inahitaji uwe na moyo wa mitume ya zamani.
Unampaje mwanamke figo kwanza! Mchizi kazingua parefu sana! Wakumpa ni mama yako,dada yako au mtoto yatima.Hamna, kuna wakati aliuguza kwahio ilibidi amsubirie hadi apone vizuri, halafu ukute alikua hata nje haibi kisha unakuja kuachika
Mapenzisijui watu huwa wanathubutuje
Kwasasa siwezi toa tamko la ndiyo au hapana..muda utaongea.Wewe huwezi kutoa?
Sitanii. Wewe ngoja nikupe halafu utishie kuniacha ndio utaelewa.unasema kweli