Kama hizo chati za zamani kabla hamjaoana mueleweshe maana uzuri wa mitandao inaonyesha detail zote (mwaka mpaka tarehe )
Na kama ulifanya kipindi mpo kwenye ndoa hana imani na wewe hata kama hao wanawake hujawahi kukutana nao yaani ni ngumu kumshauri akaelewa
kua makini mkuu unaweza kupoteza uaminifu kwa mambo madogo ambayo yakamfanya aanze kuchepuka kwa lengo la kulipiza kisasi hii itakua hatari kwako
Na kama ulifanya kipindi mpo kwenye ndoa hana imani na wewe hata kama hao wanawake hujawahi kukutana nao yaani ni ngumu kumshauri akaelewa
kua makini mkuu unaweza kupoteza uaminifu kwa mambo madogo ambayo yakamfanya aanze kuchepuka kwa lengo la kulipiza kisasi hii itakua hatari kwako
