Recent content by Hardrock2019

  1. H

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso ya TRA kwa wafanyabiashara wa Mbao

    Mkuu miti umepanda wewe,umeihudumia wewe ukivuna ukitaka kusafirisha lazima ulipe maliasli wakupe kibali
  2. H

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso ya TRA kwa wafanyabiashara wa Mbao

    Mkuu kuna vitu wanazingua sana kwa kweli,ivi ni sawa na mtu awe kabeba mahindi kutoka shamba unamwambia naomba risiti ya manunuzi ya hayo mahindi
  3. H

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso ya TRA kwa wafanyabiashara wa Mbao

    TRA ni kero kubwa sana katika kukuza mazingira ya biashara.Unakuta mtu una kijiwe cha biashara ya mbao katika mji fulani, huko unakuwa umelipia leseni ya biashara, kibali cha TFS na kodi za tra pia umelipa. Unakuta mtu unaenda iringa kufata mbao ambazo hununui kwa mtu ni kwamba kule iringa...
  4. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Nna miaka 28 Nna kazi pia mfanyabiashara Sifa za mke age 23-28 awe mkristo. Awe na kashughuli cha kufanya Nawasilisha
  5. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kumletea mke wa mtu zawadi baada ya kujifungua imekaaje wadau? Msaada wa Haraka Tafadhali!

    Kapime DNA.Kaza moyo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada

    Nlidhani naumwa mkuu kama ni kawaida ngoja niendeleze dozi maana nilitoa dozi ya masaa manne nagegeda tu naona mtoto kaomba mechi irudiwe tena. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada

    Nauliza nione kama huo ni ugonjwa maana kila demu nnaepita nae analalamika natumia dawa lakn me sijawah tumia dawa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada

    .
  9. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Imebidi nimlishe mke wangu chakuka bila mboga

    Jirani baada ya kula hiyo mboga vipi amekutunuku!? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama upo kweye mahusino zaidi ya mwaka, una roho ngumu sana...

    Inaonekana bado wewe ni under 18 Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom