Msaada

Msaada

daaa.! kweli unahitaji msaada mana huo ugonjwa ukimpata mtu hua hazidi siku 3 tyr amekufa.
 
Dawa ni kuacha kula mademu wabaya..

you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Tuchukulie saa limoja unalipwa 5,000 unagegeda masaa 3, hapo ushapoteza elfu 15. Halafu akiondoka anaomba hela ya nauli 30,000 na umekuja hapa kuomba msaada wa kuongeza mda wa kugegedana aiseee.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Unachoshangaa ni kipi hapo Mkuu,mbona ni kawaida sana hiyo kwetu huku umasaini!
 
Hiyo ni kawaida hadi zaidi,sema husababoshwa na factors nyingi kama vile
1.Kupiga nyeto kwa muda mrefu
2.kutahiri ukubwani
3.kutokuwa na mzuka na binti
4.mawazo wakati wa gemu
5.njaa
6.kulazimishwa gemu bila kuwa na hamu nalo
7.usafi wa mwili wa mwenza wako
8.less participation
9.kuonesha ubabe/kukomoa mwenzio

But wenzako wengi ndio hulilia kuwa hivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau,mnishauri yani sijawahi kutumia dawa yoyote ya kuongeza nguvu za kiume lakini nikiwa na demu nikipiga show cha kwanza natumia dakika 50 ,nikianza raundi ya pili naweza piga lisaa lizima tatizo itakuwa nini,maana mademu hadi huwa wananiambia nimekula dawa lakini sijawahi tumia dawa yoyote.Na mda mwingine naweza kupiga game masaa matatu mfululizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha puli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau,mnishauri yani sijawahi kutumia dawa yoyote ya kuongeza nguvu za kiume lakini nikiwa na demu nikipiga show cha kwanza natumia dakika 50 ,nikianza raundi ya pili naweza piga lisaa lizima tatizo itakuwa nini,maana mademu hadi huwa wananiambia nimekula dawa lakini sijawahi tumia dawa yoyote.Na mda mwingine naweza kupiga game masaa matatu mfululizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Limeanza lini hili tatzo lako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah! kweli watu hatupo sawa, mtoto akinigusa tu within 10 second namwaga, na usingiz juu, hadi kesho yake ndio narudia cha pili, nacho within 5 second namaliza.. flesh na mtoto ana enjoy kinoma noma 😀😀😀😀
 
Aisee me Niko fasta sana bado LA kwanza, sometime demu anaweza kudhani siko fit, hii nikutokana na afya yangu bora na huwa nachukua interval kidgo toka siku nifanye sex..
Ila sasa mkuyeenge ukisimama Tena kuanza round 2 aisee kazi ni motooo
..
 
10. Kufanya mapenzi mara kwa mara

11.Kuzoea kukutana kimwili na wanawake wengi
12. Maumbile makubwa ya uke/Mwanamke wako kutiririsha maji ya kutosha na wakati wew una kibamia/una uume mwembamba
Hiyo ni kawaida hadi zaidi,sema husababoshwa na factors nyingi kama vile
1.Kupiga nyeto kwa muda mrefu
2.kutahiri ukubwani
3.kutokuwa na mzuka na binti
4.mawazo wakati wa gemu
5.njaa
6.kulazimishwa gemu bila kuwa na hamu nalo
7.usafi wa mwili wa mwenza wako
8.less participation
9.kuonesha ubabe/kukomoa mwenzio

But wenzako wengi ndio hulilia kuwa hivo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jaribu kuwa against na sababu hizo juu na hakika utaona mafanikio
Wadau,mnishauri yani sijawahi kutumia dawa yoyote ya kuongeza nguvu za kiume lakini nikiwa na demu nikipiga show cha kwanza natumia dakika 50 ,nikianza raundi ya pili naweza piga lisaa lizima tatizo itakuwa nini,maana mademu hadi huwa wananiambia nimekula dawa lakini sijawahi tumia dawa yoyote.Na mda mwingine naweza kupiga game masaa matatu mfululizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom