BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,211
- 39,033
Upo na mpenzi wako zaid ya mwaka wengne utaskia 3yrs mnadate, hivi hamchokani tu?? Me sijawai date na demu kwa zaid ya miez6 kwa sababu atanikinai ntatafuta mwingine.
Mliopo kwenye mahusiano zaid ya mwaka mna roho ngumu sana, miaka yote hio unamla tu, hakukinai tu??
Hivi unawezaje kudate na demu kwa kipindi chote hicho labda uwe haupo sawa kiafya nitakubali ila kama mzma una roho ngumu sana kama jiwe.
Watu wa dizain hii mbinguni mtaenda na mtakaa siti ya mbele na mirinda nyeusi mtakunywa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mliopo kwenye mahusiano zaid ya mwaka mna roho ngumu sana, miaka yote hio unamla tu, hakukinai tu??
Hivi unawezaje kudate na demu kwa kipindi chote hicho labda uwe haupo sawa kiafya nitakubali ila kama mzma una roho ngumu sana kama jiwe.
Watu wa dizain hii mbinguni mtaenda na mtakaa siti ya mbele na mirinda nyeusi mtakunywa.
Sent from my iPhone using JamiiForums