Kama wachungaji kazi yao ni kustimulate na kufungua nguvu zilizoko ndani ya muombewaji, Yule Lazaro alie fufuliwa na Yesu ilikuwaje? Yesu alitumia internal energy ipi?
Musa Aliishi Miaka around 1400-1200 BC Mohamad kaja Miaka 600 AD, Musa na Mohamad wanagap la miaka zaidi ya 2000!...huoni Mohamad kaandika vitu ambavyo vilishakuwepo ? Sasa mirracle hapa inatoka wapi?
Wilio organize safari ya kwenda mwezini ni wengi sana ila Dunia inamtaja Nail Armstrong tu.....kwa kawaida kama nafasi inahitaji mtu mmoja (kiongozi) wengine mnakuwa kama wasindikizaji tu!!...Messi ni fungaji mzuri sana ila hawezi kufunga bila kuwa na watengeneza pasi wazuri, ila mwisho wa siku...
Kinachosababisha Waislam waonekane ni wadini na Wakristo waonekane sio wadini ni muongozo waliopewa na vitabu vyao ...................................... Waislam wameambiwa hiv na Allah....Surat Al Maida 51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.