Recent content by harddrive

  1. H

    The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!

    Kama wachungaji kazi yao ni kustimulate na kufungua nguvu zilizoko ndani ya muombewaji, Yule Lazaro alie fufuliwa na Yesu ilikuwaje? Yesu alitumia internal energy ipi?
  2. H

    Behind the curtain: September 11

    Mkuu usisahau kunitag
  3. H

    Ukiwa na Fikra huru, utagundua kuwa makundi mengine si ya Kigaidi

    Uko sahihi kuna wapiga deal nyuma yake...ila najiuliza swali Dogo tu, kwa nini Wameamua Kutumia Brand Name Ya Uislam Sio Dini nyingine?
  4. H

    Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

    Musa Aliishi Miaka around 1400-1200 BC Mohamad kaja Miaka 600 AD, Musa na Mohamad wanagap la miaka zaidi ya 2000!...huoni Mohamad kaandika vitu ambavyo vilishakuwepo ? Sasa mirracle hapa inatoka wapi?
  5. H

    Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

    Hiv kabla hajaja huo mwaka 600 AD hiyo barrier haikuwepo?...
  6. H

    Sheikh Abdallah Rashid Sembe shujaa wa kura tatu na azimio la Tabora

    Wilio organize safari ya kwenda mwezini ni wengi sana ila Dunia inamtaja Nail Armstrong tu.....kwa kawaida kama nafasi inahitaji mtu mmoja (kiongozi) wengine mnakuwa kama wasindikizaji tu!!...Messi ni fungaji mzuri sana ila hawezi kufunga bila kuwa na watengeneza pasi wazuri, ila mwisho wa siku...
  7. H

    Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

    Na double agent mzuri ni yule anaetakiwa kuaminisha watu asilimia 100 kuwa sio double agent!....
  8. H

    TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

    Kinachosababisha Waislam waonekane ni wadini na Wakristo waonekane sio wadini ni muongozo waliopewa na vitabu vyao ...................................... Waislam wameambiwa hiv na Allah....Surat Al Maida 51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao...
  9. H

    Wasanii waungana kupinga maandamano ya UKUTA

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. H

    Wauza smartphone tukutane hapa

    njoo apa +8613126597321 nikuuzie mpya kabisa
  11. H

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Ninayo njoo whatsApp +8613126597321 tufanye biashara
  12. H

    Wauza smartphone tukutane hapa

    njoo apa whatsap +8613126597321
  13. H

    Wauza smartphone tukutane hapa

    nicheck apa whasApp +8613126597321 Ninazo tuongee
  14. H

    Wauza smartphone tukutane hapa

    nitakuuzia S3, au Note 1, mpya kabisa nicheki apa whatsApp +8613126597321
  15. H

    Wauza smartphone tukutane hapa

    nichek apa whasapp +8613126597321 nitakuuzia mpyaa kwa 380k
Back
Top Bottom