Ahsante mkuuWanaendelea tena kufanya tena kosa hilo hilo kule Syria sasa hivi.. Ndio maana watu wengine wanadhani kuna dhamira yao wameificha 'behind the curtain'... Nitagusia kidogo kwenye muendelezo wa hii makala
Hivi yupo hewani kweli au ndio kafungiwa?Ahsante mkuu The bold
Jtatu mkuu mbona bado leo jmosisi ulisema leo waendelea mkuu...???.mbina kimya mpaka muda huu...???
Osama alishakufa kwa maradhi ya figo. Lakini hakuwa yule wa operation ya Pakistan.the bold shukran sana but kuna uvumi juu ya osama kuhusishwa na CIA kama member ...but it is according to EDWARD SNOWDEN...
usisahahu kutujuza zaidi juu ya huyu nyumbu make nae ni mtata sana na anazidi kuelezea dunia kuw osama bafo yupo hai ukiachilia na ile Death hoax ya america juu ya kifo cha osama....
inasemekana kuwa Rusia bado ina mhabour Edward snowden after his frew away from CIA America..
vip kuna ukweli hapo..??
Nifah! Tag Mistress! Upite hukuMkuu usisahau kunitag
Tag hawa watu mkuu!Mkuu The bold naomba usiache kunitag katika makala zako
Mkuu sio ustaarabu ku quote uzi woteBrigedia The Bold mbona mm hunitag bwashee mavituz yako nayakubali ikiwa kama mtu wa kitengo