Sheikh Abdallah Rashid Sembe shujaa wa kura tatu na azimio la Tabora

Nyiokunda,
Historia hii inasomeshwa sasa vyuo vingi duniani.

Binafsi nimetoa mihadhara University of Iowa na University of Northwestern
kuhusu historia hii unayoiita, ''mpya.''

y8yFTxKGQubaEHJimcdehzVXjkSagMsV35XGzaaSCW0k03-JE27WKcX7-UhXvDknImXvVejHs1ozhpMBEBU_5Cki3H_T93Wbc-KIuaxZgzy1CNDB8emH8J4OxhfmhffdfZJVFqHS82PCllZLHoTkBw2R0zyQaftfK4e9aWPrKRJwaqW5nAMoGFPaculdMOyAwlATq-WlmMdPHXp2dlytV5qOdE6i99Razfzh9bDKih5AEgmz00QNl3SzHrQAEYwy3PTcdRjYENwLJrEZso27D41SnfG8I6kEl5v0vn7vJKO7YGtZFCB_ZhVU1pEZtuzkycavyt2VUsgl_0Q99AkAY3mw8XJSuC_B81pjo7OI16e7uBKrQyxz0MXJn0P-8DzCJ1YB624X4WguORiBIc1pm4KZajXzlRNr1lIducs5DFJ9iz3044zn8Nbr2GMpi60_NkkV_Z52F4EJYPTHIAWkSRpTh9f6Cw0z22WN-oqJYu2GHLO5_ZhAecfz30py2kMjdI6H7zccK65KBiW-yUFmyBem_EiQvndKE53BNgMJ7cAhJZJcI66XirzllcUE3IwnaK4MEa3AzpXduPGdHcYuhbctCZ_IP8UUENWrwNNRe_7Rk-jz1Q=w480-h360-no


University of Iowa Department of African History nitafute katika hilo
kundi hapo juu utaniona.

Nimeshiriki katika uandishi wa Dictionary of African Biography (DAB) mradi
wa Oxford University Press na Harvard.

Soma hapo chini kutoka DAB:

DSCN1129.JPG


DSCN1138.JPG


Historia hii haipo JF tu bali iko kwingi duniani.

Hapo chini Prof. James Giblin wa University of Iowa akionyesha nakala ya kitabu cha
Abdul Sykes toleo la kwanza 1998 ofisini kwake.

PwQtwqsM8W-yKdqXUewwFYnYQyF6KYRsoTA4wGz-KQVNGdPeimoOGWrK1HK2NfgwiyQ3bkcSlTaWm94V2jU9h5pp67l4sIAqKrJf6XuDluhdnjgfey_-XZ_V4iYBwaExqxIj2nn0lsJOSX55H-PJVGwKGe2nHLymBqC35SqRzvx5fuPfrSVhQ7MGzddjATEfX5h2vP9QjvhQrvNHhkvrv6K-T3znwFBq1cMTSPDJnAHP-7cOSzdU4WYL26Iw1yzmMmIUCn_ZqDfqJzyJ2d0XYAGBkEPtzggVBwaXyYYN2N_UPoB_2URauIrbytIUfJYXKaNPhdziDnX_Fect4xlMh7QpmBIhALtdhIQNHZ63gvpTOmrYQwpGnw5uibqbgYPiYxqAzMgzO1a2iS7vffaWO6hQOwTjzPtLc52-fqSyOd2UmTbMot57TjnhobtgzsPMorGJDxX0eKAs0OuSVDiRBwr883Rs-X-SBocVAeNf_xquEeqW_KYs2KJB0TDGTRNZAE1JIlLMpCnC-4fUcTPnAUe4ucCjRiZab46bETL_pPVXMQuK9_ERDR6s_Jn1SbQOm-7PaaBMp2Jj9tUrPmQakF99vlicp_Bq11aG_QpSIbUQYkWyFOdXxg=w480-h360-no
Yaani hawa jamaa wanaokuletea poroja wanakusaidi sana maana unalazimika kufunguka sana ili kuwaumbua na hapo ndipo sisi wafuasi wapya tunapopata mengi zaid
ningewashauri wapinzan wa Moh'd said wakiona andiko lake waliache tu itawasaidi kuficha ukweli wasioutaka.
Sasa kwa mfano ushahidi km huwa unaowasilishwa unaupingaje kwa mtu mwenye akili km sio kuleta bla blaa ambazo "darasa"hataki kusikia
 
Mtanganyika...
Mdomo haumkatai bwana wake...

Sina uwezo wala nguvu wala madaraka ya kukuzuia wewe kustarehe
katika X Mas.

Ikiwa hii historia inakukera huna haja ya kuisoma.
Ukiliona jina la Mohamed Said unapita zako salama wa salmin.

Sidhani kama unahitaji hili kufundishwa na mtu yoyote.

Kwa njia hii utakula X Mas bila bughudha wala kero ya kusoma yale
yanayounguza nafsi yako wala hutakuwa na ugomvi na mtu.

Lakini ukweli utabaki kuwa hiyo si ''porojo,'' bali ni historia ya uhuru wa
Tanganyika iwe unataka au hutaki.

Kuna watu hawazezi kupita makala ya Mohamed Said lazima watasoma
na sababu wanasema ni kuwa wanasoma upya historia ya Tanganyika.
Uhuru wa Tanganyika,mapambano yalianza wakati wajerumani wanatawala,sehemu hii,ya EA,kinjekitile,mirambo,na machifu wengine wengi,walishiriki mapambano haya,hao was Islam,unaowazungumzia,walikuwa hawajazariwa bado,kwa hiyo kutuambia kwamba uhuru was Tanganyika,umeletwa na was Islam,in uongo mtupu,
 
Uhuru wa Tanganyika,mapambano yalianza wakati wajerumani wanatawala,sehemu hii,ya EA,kinjekitile,mirambo,na machifu wengine wengi,walishiriki mapambano haya,hao was Islam,unaowazungumzia,walikuwa hawajazariwa bado,kwa hiyo kutuambia kwamba uhuru was Tanganyika,umeletwa na was Islam,in uongo mtupu,
Kwani hao akina kinjeketile walikuwa wakristo?

sasa na hilo unataka kumsumbua mzee Moh'dsaid!? Hilo ni ladarasa la kwanza na km hujui sijui kwanini unaingia hili jukwaa km vip uwe msomaji tu
 
Uhuru wa Tanganyika,mapambano yalianza wakati wajerumani wanatawala,sehemu hii,ya EA,kinjekitile,mirambo,na machifu wengine wengi,walishiriki mapambano haya,hao was Islam,unaowazungumzia,walikuwa hawajazariwa bado,kwa hiyo kutuambia kwamba uhuru was Tanganyika,umeletwa na was Islam,in uongo mtupu,
Juan...
Tuingie kwenye darsa tusome mmoja wa mashujaa wetu katika vita vya
Maji Maji Sultani Abdul Rauf Songea Mbano ili nikuonyeshe baadhi ya haya
matatizo katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Haya ninayokuwekea hapo chini ni maneno ambayo nimeyaandika hapa
JF kujibu hoja kama yako.

Soma kwa utaratibu na ikiwa kuna kitu hukuelewa tafadhali niulize nipate
kukufahamisha:

''Wanamajlis,
Naona ukumbi umepoa.
Yuko aliyesema ana maswali kuhusu Nyerere anataka kuniuliza.

Kapotea sijamsikia.

Yuko aliyekuja na mpya kuwa Waislam sio walioanza harakati dhidi
ya ukoloni akataja Maji Maji.

Nikaweka jibu.

Hakuridhika akadai kuwa majibu nimejinukuu mwenyewe kwa hiyo
ni ajua.

451px-Chief_Songea_Mbano.jpg

Chief Songea Mbano

Nikaja na jibu kutola nyaraka za Wajerumani wenyewe waliopigana
na Chief Abdul Rauf bin Songea.

Najua kapata mshtuko kwa kuwa hajapatapo kumsikia Chief Abdul
Rauf bin Songea
katika Vita Vya Maji Maji ingawa inawezekana kuwa
kasikia Chief Songea Mbano.

Najua ametatazika kama wengi wanavyotatazika hivi sasa wakinisoma.
Hawa ni watu wawili au ni mtu mmoja?

Abdul Rauf bin Songea ndiyo huyu Songea Mbano?
Kuchakachua historia kuna hatari zake na hii ni mojawapo.

Hakuwa anajua kuwa Vita Vya Maji Maji Waislam walisimama dhidi ya
Wajerumani.

Majemadari 60 Waislam walinyongwa na kuzikwa kaburi moja Mahenge,
Songea na kumbukumbu ya iko hapo kwenye kumbukumbu ya Maji Maji
Songea.

Katika kaburi la peke yake amezikwa Songea Mbano.
Je huyu ndiye yule Abdul Rauf bin Songea?

Kuna mahali Abdul Rauf bin Songea anaitwa kwa jina la ''Chief Songea
Luwafu Mbano.''


Soma hapo chini:


One of these is Chief Songea Luwafu Mbano, from whom the town takes its name. As the most famous of the Ngoni resistance leaders, the Germans honoured ...

CYgjIZKWYAA1G2j.jpg

Hii ''Lwafu,'' ndiyo Rauf?

Huyo hapo juu kwenye picha ndiye Chief Abdul Rauf Songea Mbano
Jemadari Muislam wa Vita Vya Maji Maji.

Angalia hapo chini ghafla majina ya hawa Waislam hayaonekani badala
yake kuna majina mengine lakini ni ya wale wale Waislam walionyongwa:

DSC02264.jpg


Nani huyu anaepotosha haya majina mazuri ya Waislam katika historia
ya Maji Maji?

Sasa soma hapo chini:


Islam has always been the ideology of resistance against colonial rule or any other authority which tried to subjugate Muslims. Consequently, no government in power either indigenous or foreign has ever been kind or supportive to Islam, and likewise Muslims have always been engaged in a continuous struggle to preserve their faith and fight for their rights. Christianity was resisted by Muslims right from the beginning. In any uprising against the colonial government, Muslims took the opportunity to attack missionaries and Christian establishments. Muslim perceived both missionaries and the colonial government as fellow collaborators and therefore enemies to Islam. Islamic radicalism has therefore a long history in the struggle against colonial rule and Christianity. Christianity became a reactionary force siding with the colonial authority. One needs only to read the letter written by the Chief Songea bin Ruuf at the time when he was mobilising his people for war while at the same time trying to cement alliances with other chiefs in Southern Tanganyika and across the River Ruvuma in Mozambique. This letter written to Sheikh and Sultan Mataka bin Hamin Massaninga reads:
''Sultan Songea bin Ruuf writes: To the Shaykh and Sultan Mataka bin Hamis Massaninga. Greetings, etc. I am sending you a letter throughKazembe. We have received an order from God that the Europeans must leave the country. We are in the process of fighting them here. I believe that we have long since been reconciled,[so] send me your children, so that we may make an alliance. I had wanted to send you some cattle as a gift, but am not able to do so, as the war which God desired is continuing. Send me a hundred riflemen, and support me in storming the Boma (Songea).

I am also sending you a flask of the Prophet Muhammad, which contains the means for conquering the Europeans. Have no doubt about it, it possessed great power. And when we have taken the Boma (Songea), we shall go on the stations on the Nyasa together, you and I. Now, let us forget our old quarrels.
This bottle, with a da’wa, has been sent by Chinyalanyala himself, the war leader. He also sends the container (kombe), and sends you many greetings.
If your men will come, then Chinyalanyala himself will come and will give you many of the holy things.
Hassan bin Isma’il greets you.
Many salutations,
Sultan Songea bin Ruuf.” [1]
A point to note here is that this letter, beautiful as it is, it is being doubted by Becker, who maintains that the origins of the letter are dubious.[2] This is the stand which many Christian researchers have taken when faced with the realities of Islam in Tanganyika.


[1] C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa’, Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p.58.
[2] Ibid.
Angalia jina la Kazembe no. 51 na Hassan bin Ismail no, 53 majina ambayo Chief Abdul

Rauf bin Songea kayataja katika barua yake.

Angalia neno ''bin'' katika baadhi ya majina kisha jiulize na wapi likawekwa neno ''bin,'' kwa
asiyekuwa Muislam.

DSC02267.jpg

Kaburi la Chief Abdul Rauf Songea Mbano katika Maonyesho ya Taifa ya Maji Maji
Mahenge, Songea ambae kazikwa kwa jina la Songea Mbano.

Kutoka: Mohamed Said, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of The Muslim Struggle Against British Colonialism in Tangnayika, Minerva Press, London 1998."[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Sultan Songea bin Ruuf huyu hapo juu ndiyo huyu anayoelezwa tena hapa chini kama Chief
Songea Mbano?:


"Anasema hali hiyo ilitokea kwa sababu Chifu Songea Mbano alikuwa ndiyo Jemedari Mkuu wa Jeshi la Wangoni na alikuwa ni hodari sana asiyeogopa lolote kwa hiyo Wajerumani walitaka abakie ili wamtumie kwa malengo yao.

"Yeye Chifu Songea alidai na yeye anyongwe kama walivyonyongwa ndugu zake, basi alinyongwa na Wajerumani ambao waliondoka na kichwa chake wakiwa wamekiweka ndani ya kasha kwenda Ujerumani ambako hakijarudi hadi leo na kiwiliwili chake kuzikwa katika kaburi la peke yake."
(Kutoka:Historia Ya Vita Vya majimaji.)
WanajamviNaamini mnaiona tofauti iliyopo.
Au hawa ni machifu wawili tofauti?

Nani anahusika na uchakachuaji huu wa majina haya ya Kiislam katika historia ya Vita Vya Maji Maji?''

 
Yaani hawa jamaa wanaokuletea poroja wanakusaidi sana maana unalazimika kufunguka sana ili kuwaumbua na hapo ndipo sisi wafuasi wapya tunapopata mengi zaid
ningewashauri wapinzan wa Moh'd said wakiona andiko lake waliache tu itawasaidi kuficha ukweli wasioutaka.
Sasa kwa mfano ushahidi km huwa unaowasilishwa unaupingaje kwa mtu mwenye akili km sio kuleta bla blaa ambazo "darasa"hataki kusikia
Nasaluka,
Mimi naelewa tatizo la kisaikolojia walilonalo hawa ndugu zangu.
Hawa si watu wa mwanzo kupata na mshtuko wa historia hii.

Prof. Haroub Othman aliposoma kitabu changu alipigwa na butwaa.

Hakuamini kuwa TANU ilikuwa mtoto wa Abdul Sykes na ukipenda
unaweza kurudi nyuma zaidi hadi kwa baba yake Kleist alipoasisi African
Association mwaka wa 1929 na kujenga hiyo ofisi ilipokuja kuasisiwa
TANU 1954.

Nyerere ana mchango wake mkubwa sana katika TANU lakini kumtaja
yeye bila Abdul Sykes na wazalendo wengine historia inakuwa haijakamilika.

Halikadhalika kuja na propaganda ati TAA kilikuwa chama cha starehe
ili kumviza Abdul Sykes na wenzake waliokuwa katika siasa kabla ya
Nyerere ina kuwa kichekesho kwani katika watu waliokuwa mstari wa
mbele katika TAA walikuwa masheikh wa kutajika kama Mufti Sheikh
Hassan bin Amir, Liwali Said Chaurembo
na Sheikh Mohamed
Ramiya.

Hawa hawakuwa watu wa mchezo mchezo.
Hawa walikuwa viongozi wa Waislam wa Tanganyika.
 
tusipuuze wazee hawa....info wanazoziweka hapa ni urithi na mwanzo fikra kwa vizazi vijavyo.....no matter how contradictory they are ...still worth for future critical minds
 
tusipuuze wazee hawa....info wanazoziweka hapa ni urithi na mwanzo fikra kwa vizazi vijavyo.....no matter how contradictory they are ...still worth for future critical minds
FDR,
Ikiwa umeona, ''contradictions,'' katika historia hii niandikayo hapa
tafadhali nifahamishe ili ikiwa ninayo maelezo niyatoe.

Unajua haya yote wakati yakifanyika kuanzia kuundwa kwa African
Association 1929 hadi TANU 1954 na yote yaliyopitika hadi uhuru
mwaka wa 1961 babu yangu alikuwapo na muhusika kwenye yote.
 
FDR,
Ikiwa umeona, ''contradictions,'' katika historia hii niandikayo hapa
tafadhali nifahamishe ili ikiwa ninayo maelezo niyatoe.

Unajua haya yote wakati yakifanyika kuanzia kuundwa kwa African
Association 1929 hadi TANU 1954 na yote yaliyopitika hadi uhuru
mwaka wa 1961 babu yangu alikuwapo na muhusika kwenye yote.
Nafurahi kusoma taarifa na urithi huu kwani unanipa taarifa mlinganyo na kunipa ukweli mpana kwa kufahamu wanaharakati ambao ktk vitabu vya kiada hatukuwahi kuwasoma....Kaka mkubwa endelea kutoa elimu na urithi huu. Mie ni Mkristo Sheikh Said, sioni contradiction zaidi unatanua ukweli kwa kubainisha majina mengi yalo in mabano .....Tunajifunza mengi kwa simulizi zako Brother. UKRISTO AMA UISLAMU ni IMANI cha muhimu ni UKWELI kuwa wazi ili historia iwe Mwalimu bora sana kwa vizazi vijavyo.
 
Nafurahi kusoma taarifa na urithi huu kwani unanipa taarifa mlinganyo na kunipa ukweli mpana kwa kufahamu wanaharakati ambao ktk vitabu vya kiada hatukuwahi kuwasoma....Kaka mkubwa endelea kutoa elimu na urithi huu. Mie ni Mkristo Sheikh Said, sioni contradiction zaidi unatanua ukweli kwa kubainisha majina mengi yalo in mabano .....Tunajifunza mengi kwa simulizi zako Brother. UKRISTO AMA UISLAMU ni IMANI cha muhimu ni UKWELI kuwa wazi ili historia iwe Mwalimu bora sana kwa vizazi vijavyo.
FDR Jr,
Ahsante sana ndugu yangu.
Unaweza kutembelea www.mohammedsaid.com kwa mengi katika historia.
 
Wilio organize safari ya kwenda mwezini ni wengi sana ila Dunia inamtaja Nail Armstrong tu.....kwa kawaida kama nafasi inahitaji mtu mmoja (kiongozi) wengine mnakuwa kama wasindikizaji tu!!...Messi ni fungaji mzuri sana ila hawezi kufunga bila kuwa na watengeneza pasi wazuri, ila mwisho wa siku atasifiwa Messi kwa kutikisa nyavu!..... story yako ni nzuri sana lakini Mwisho wa siku itabiki kuwa story na Dunia itendelea kukumbuka aliotikisha nyavu (Nyerere), kwani lengo kuu la mpira wa miguu ni magoli, mwenye kutimiza lengo la mwisho ndio atakae sifiwa!....pole Bro ila Dunia ndivyo ilivyo!.....
 
Wilio organize safari ya kwenda mwezini ni wengi sana ila Dunia inamtaja Nail Armstrong tu.....kwa kawaida kama nafasi inahitaji mtu mmoja (kiongozi) wengine mnakuwa kama wasindikizaji tu!!...Messi ni fungaji mzuri sana ila hawezi kufunga bila kuwa na watengeneza pasi wazuri, ila mwisho wa siku atasifiwa Messi kwa kutikisa nyavu!..... story yako ni nzuri sana lakini Mwisho wa siku itabiki kuwa story na Dunia itendelea kukumbuka aliotikisha nyavu (Nyerere), kwani lengo kuu la mpira wa miguu ni magoli, mwenye kutimiza lengo la mwisho ndio atakae sifiwa!....pole Bro ila Dunia ndivyo ilivyo!.....
Harddrive,
Hili si suala la kuandika sifa za watu ila ni kuandika historia ya kweli.
 
Back
Top Bottom