Tatizo ni kwenye malipo. Wanasiasa wanapata mishahata mizuri kuliko wanataaluma. Ndio maana wanataaluma wanakimbilia kwenye siasa. SERIKALI INAWATHAMINI SANA WANASIASA KULIKO WANATAALUMA. ndio maana maprofesa wengi wako kwenye siasa.
Tatizo la Magufuli anajiona yuko juu ya sheria. Kutii sheria kwake ni kama ujinga. Kinacho nishangaza huwa anahimiza wananchi watii sheria lakin yeye haheshimu sheria.
Wafundishe hawo ndugu. Issue iko wazi kabisa. Lakini kuna wengine wanavichwa vigumu sana kuelewa. Maelezo ya huyo naibu waziri ni upotoshaji, ni njia ga uongo ya kujarobu kujinasua. Lakini hawatoki Ng' o. Report inetoka na haibadilishiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.