Kiukweli ukijiheshimu kila mtu atakuheshimu haijalishi ni mtu wa Outing au siyo.Na unajiheshimu 100% and it seems sio mtu wa outing kiivyo....
Unawaza mimba tu.
[HASHTAG]#ukimwi[/HASHTAG] huogopi. Afu ukiwa unamashaka na mtu kama mtakuwa faragha jaribu kuvaa suruali tena ya jeans.
Exactly dear...Kiukweli ukijiheshimu kila mtu atakuheshimu haijalishi ni mtu wa Outing au siyo.
Exactly dear...
Gari ni silaha nzuri sana kupata wanawake .
Angekuambia muende kwa ngoko sijui kama ungekubali
haha haaaa umetiwaa pekuu pekuuu kabisaaa uwwiiiii mwanamke weweee Mungu anakuona ujueeee
Duuuu kumbe yamekukuta nawewe? Vp kwa gari au getho?Na yeye alikua anamtaka basi. Nikajua kabakwa maana kuna mkaka huku Dar ndo mchezo wake. Ukiingia kwake tu au kwenye gari yake hata kama kuna watu atakusumbua. Nikajua kakutana nae huyo bwana
Nikionacho, kama alipiga show ya maana... IPO SIKU UTAMUITA MKACHUKUE TENA "DOCUMENTS"....Nikiwa napiga story na mashost zangu akapita kaka ni rafiki yangu sana akaniambia nipande gari nimpe kampani kwani kunadocument anaenda kuchukua nyumbani kwake afu tutarudi wote.
Tulipofika nyumbani ile kuingia tu ndani akafunga mlango kwa funguo na kudai kuwa ananipenda sana na siwezi kutoka bila kumpa penzi.
Nilipojaribu kujitetea alinishika kwa nguvu bahati mbaya nilivaa kagauni kepesi yani alikanyanyua tu juu kilichoendelea hapo ni bingilibingili bayoyo, nawaza tu hapa asije akawa kanipa mimba maana ninampenzi wangu nampenda sana.
Kwa ID ya Nandy sishangai...
Ilikua kwake. Niliondoka saa tisa usiku na mvua kubwa inanyesha. Likiona mpaka kesho linanichekea.Duuuu kumbe yamekukuta nawewe? Vp kwa gari au getho?
Je ulibakwa au ulipokea kwa ushirikiano?
Hapana mama. Hajabakwa. Ilikuwa bingilibingili bayoyoMbona kama umebakwa? Au na wewe ulikua unampenda huyo kaka ndo maana huongelei kubakwa bali mimba?