Recent content by Happycuit

  1. Happycuit

    Ina maana mikataba yote waliyosaini Yanga sc wamekosa pesa ya kumlipa Kambole au ni mikataba hewa?

    Kaa jua kuwa mpira ni biashara, Mo analalamika hasara lakini GSM ametulia tu mnamsifia hahaha hakuna mwekezaji anayeweza fanya biashara ya kichaa watu lazima wajilipe kubalance vitabu..... WEWE KUWEZA?
  2. Happycuit

    Tetesi: Dube amesaini Yanga tayari

    Hamna kitu humo, galasa tu
  3. Happycuit

    Ina maana mikataba yote waliyosaini Yanga sc wamekosa pesa ya kumlipa Kambole au ni mikataba hewa?

    Sasa kama hela hawana? Kwa unavyofikiria Pesa ingekuwepo wangeacha kulipa na ikiwa FIFA waliwapa notes ya siku 45 kufanya hivyo? Tusiwe tunalaumu kila jambo jamani huu sio uungwana.... Ali kamwe anasema kama unalalamika na huna kadi ya uanachama au unayo alafu hulipii basi wewe ndio wa kulaumiwa...
  4. Happycuit

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hahahahahaa kabisa
  5. Happycuit

    Tangu Yanga wafungiwe usajili na FIFA & CAF Pacome hakucheza tena

    Huna akili. Yaani Ivory coast iite majeruhi kutoka bongo??? Ubongo wako una funza
  6. Happycuit

    Ajira Tume ya uchaguzi iangalie wanaosota mitaani badala ya kuajiri Walimu

    Yaani nijisumbue kuomba kazi ya tsh 60 elfu per day!!!! Aaaah wapi
  7. Happycuit

    Tangu Yanga wafungiwe usajili na FIFA & CAF Pacome hakucheza tena

    Kwanini aliitwa national team na kukaa benchi kabisa? Hakuumia ile ilikuwa ni janja janja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani ivory coast waite majeruhi kutoka Tanzania!!!!!!
  8. Happycuit

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Dah
  9. Happycuit

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Cry more
  10. Happycuit

    Young Africans yawasilisha Malalamiko yake CAF

    Waache wajisumbue
  11. Happycuit

    Wachina rudini nchini muichukue TAZARA yenu

    Hatari mkuu hii nchi hii.....
  12. Happycuit

    Wachina rudini nchini muichukue TAZARA yenu

    Mkuu ,Safari za abiria kutoka dar kwenda mlimba zipo au hakuna? Na kama zipo ratiba ipoje
  13. Happycuit

    Kwako Mwanamichezo, Gamondi na Nabi yupi zaidi?

    LILE SIO GOLI. OVER.
Back
Top Bottom