daaaaaaaaaah unanikumbusha mbali sana huu wimbo!! na wimbo wa all of me- by john legend my x alikua haujui nkamuingizia kwenye cm yake, ckuamin cku nimeenda kwao unapigwa kwenye Tv aliniimba mwanzo mpk mwisho nilifurah kwa kuujua!! But baada ya mda akaja nambia he dont feel like loving...
Habari za sahii wapendwa, sasa mimi leo nimetumiwa sms ya kuitwa katka usail MUHAS. Ila nilipojarbu kuangalia majina ya walioitwa kwenye usail jina langu cjaliona.
Wasiwasi unakuja sasa je hili swala halitaleta shida hiyo siku ntakapokwenda kweny usail?? naomben ushauri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.