Usaili Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili

Usaili Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili

Wewe we nenda ukikosa utakkuwa umepata uzoefu wa interview nyingine,kwani kuitwa cio kupata
 
sasa si ungemjibu kwa message bila kuanika jina humu, haya bora ujifutie post yako. utasomwa ulivyo usije kosa kazi
 
Habari za sahii wapendwa, sasa mimi leo nimetumiwa sms ya kuitwa katka usail MUHAS. Ila nilipojarbu kuangalia majina ya walioitwa kwenye usail jina langu cjaliona.
Wasiwasi unakuja sasa je hili swala halitaleta shida hiyo siku ntakapokwenda kweny usail?? naomben ushauri wenu

Acha ujinga wewe nenda hii ni uhamiaji part two umeasahau? hapo muhas kila post tayari ina mtu na huyo mtu moja wapo ni wewe ambao mnaitwa inje ya system big up kwa kuwa mwana mtandao nenda usitangazeee
 
Acha ujinga wewe nenda hii ni uhamiaji part two umeasahau? hapo muhas kila post tayari ina mtu na huyo mtu moja wapo ni wewe ambao mnaitwa inje ya system big up kwa kuwa mwana mtandao nenda usitangazeee

Sasa hapa ujinga umetoka wapi tena.?
 
Duuuh mambo ya kusoma kwa kukurupuka si mazuri...nlisoma page moja kumbe document ina page tisa duuh ningekosa interview hivi hivi
 
ujinga kuitwa alafu unataka jina ya nini yote kujihangaisha wewe kanyaga mwendo twende tukapige interview
 
nedna happy huwezijua labda ni wewe ndo umeshachaguliwa nenda ujiamini bac
 
Habari za sahii wapendwa, sasa mimi leo nimetumiwa sms ya kuitwa katka usail MUHAS. Ila nilipojarbu kuangalia majina ya walioitwa kwenye usail jina langu cjaliona.
Wasiwasi unakuja sasa je hili swala halitaleta shida hiyo siku ntakapokwenda kweny usail?? naomben ushauri wenu

Mh! interview kwa message sijawahi ona.
 
records management

ndo wale wale uhamiaji part 2 yaani hizo post niliambiwa zina watu tayari kumbe moja wapo ni wewe alafu kwa faida ya wanajamii hao walioitwa ni gelesha tu post zina watu muda mrefu huyu aliyeitwa bila jina naye nafikiri ni post yake hongeraaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Jina hujaliona, alafu unatangaza jina lako hili wakuangalizie. Sasa hao wanaotaka kukuangalizia wanaangalia wapi?
 
Mi nachojua wote ambao majina yao yapo wametumiwa meseji ni kitu cha kawaida ht PSRS huwa wanatuma msg

ila hizi kazi za Muhas sidhan kama kuna uhalisia
 
Mi nachojua wote ambao majina yao yapo wametumiwa meseji ni kitu cha kawaida ht PSRS huwa wanatuma msg

ila hizi kazi za Muhas sidhan kama kuna uhalisia

Kuna watu wametumiwa msg nikiwamo mimi interview saa 10:00hrs, kuna watu hawajatumiwa msg wameangalia kwenye website interview 12:00hrs..
 
Kuna watu wametumiwa msg nikiwamo mimi interview saa 10:00hrs, kuna watu hawajatumiwa msg wameangalia kwenye website interview 12:00hrs..


Acha zengwe ukisoma ile meseji mwishon wamesema kwa maelezo zaidi tembelea muhas.ac.tz
 
Back
Top Bottom