MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
Usimkatishe tamaa ila siku ingine akikupigia Simu mwambie hujanda kazini unaumwa sana kisha atajisogeza kwenye swali hili ..unaumwa nn? Mjibu Kwa swali kwani hujui? Then mwambie we ni mwathirika mwaka wa tatu Sasa so sometimes huwa unazidiwa sana ila umeishaikubali hiyo hali so inakusaidia kuishi Kwa matumaoni...akirndelea zaidi ya hapo Hilo jini kaka delete kabisa
Easy like that...