Girlfriend wangu wa zamani simuelewi

Girlfriend wangu wa zamani simuelewi

Usimkatishe tamaa ila siku ingine akikupigia Simu mwambie hujanda kazini unaumwa sana kisha atajisogeza kwenye swali hili ..unaumwa nn? Mjibu Kwa swali kwani hujui? Then mwambie we ni mwathirika mwaka wa tatu Sasa so sometimes huwa unazidiwa sana ila umeishaikubali hiyo hali so inakusaidia kuishi Kwa matumaoni...akirndelea zaidi ya hapo Hilo jini kaka delete kabisa

Easy like that...
 
Hivi, visa vingine mnaandika tu kuchangamsha jukwaa na kupoteza mda au ni kweli kabisa mtu anaomba ushauri serious??

Nami ngoja niombe ushauri hapa:
Jamani wana MMU wapendwa, mimi nimekula sana leo na ninahisi tumbo limevurugika, sasa hivi nimebanwa na mavi ambayo nahisi yatakua na mharo.
Niko kwenye kikao hapa ila naomba mnishauri. Je niende chooni au nijinyee hapa hapa tu? Maana naona kama nikijinyea hapa itakua aibu ila nasikia uvivu kwenda chooni.
Asante.

hahahahahaaaaaaaaa duuh aisee u made my day maana nimecheka mpk mbavu zinauma!!!!

hata sikupi ushauri mi nacheka tuuu hahahaaa
 
Hivi, visa vingine mnaandika tu kuchangamsha jukwaa na kupoteza mda au ni kweli kabisa mtu anaomba ushauri serious??

Nami ngoja niombe ushauri hapa:
Jamani wana MMU wapendwa, mimi nimekula sana leo na ninahisi tumbo limevurugika, sasa hivi nimebanwa na mavi ambayo nahisi yatakua na mharo.
Niko kwenye kikao hapa ila naomba mnishauri. Je niende chooni au nijinyee hapa hapa tu? Maana naona kama nikijinyea hapa itakua aibu ila nasikia uvivu kwenda chooni.
Asante.

Mwehe!! Mwehe!! Hii kalii
 
Habari wana jamvi wa MMU. Ni takribani miaka 4 kamili iliyopita nilipovunja uhusiano na aliyekuwa girlfriend wangu na kukatisha mawasiliano nae. Sababu ya mimi kubrake up nae ni alikuwa si mwaminifu so kuna ushahidi niliupata ambao ndo niliutumia kusitisha mahusiano nae. Mwaka juzi nikapata habari kutoka kwa ndugu yake wa karibu kuwa Ex wangu amepata mchumba na anaolewa, na kweli akaolewa. Kwa upande wangu nikafarijika kuwa amepata mume na sasa atatulia.
Sasa last week nikiwa ofisini nikapokea simu ngeni kutoka kwa mwanamke niseyemfahamu alipojitambulisha alikuwa ni yule ex wangu akasema ametafuta contact zangu na amezipata kwa ndugu yangu wa karibu na sababu ya yeye kunipigia ni amenimiss na ana wish siku moja aje dar anione anisalimie. Sasa wana jamvi mimi sitaki kurudisha ukaribu na huyu binti na isitoshe ni mke wa mtu na sitopenda kuwa na ukaribu nae but naona amezidisha kunipigia simu mara kwa mara kunijulia hali but sitaki kumfikiria vibaya lakini nimepata mashaka huu ukaribu anaoutengeneza sio mzuri kwa mustakabali wa ndoa yake... Naombeni ushauri niendelee kuwasiliana nae tuu nione nia yake ni nini au nimpotezee.

Acha kuzunguka, mchane live kuwa huna time nae na asikusumbuwe... Kinyume na hapo utakuja kumgegeda.
 
Dont let her toy with your emotions dude. She used you before, she will use you again. Tramps like that do not change their ways. Mbona wanawake wako wengi sana mjini hapa? Why waste your time on piece of azz? I just don't get it...
 
Hivi, visa vingine mnaandika tu kuchangamsha jukwaa na kupoteza mda au ni kweli kabisa mtu anaomba ushauri serious??

Nami ngoja niombe ushauri hapa:
Jamani wana MMU wapendwa, mimi nimekula sana leo na ninahisi tumbo limevurugika, sasa hivi nimebanwa na mavi ambayo nahisi yatakua na mharo.
Niko kwenye kikao hapa ila naomba mnishauri. Je niende chooni au nijinyee hapa hapa tu? Maana naona kama nikijinyea hapa itakua aibu ila nasikia uvivu kwenda chooni.
Asante.

Heheheeee... Common sense aint always common
 
tupe mrejesho mkuu ilikuwaje? nafikiri kikao kilimalizika salama
 
tupe mrejesho mkuu ilikuwaje? nafikiri kikao kilimalizika salama Nyamgluu
 
Last edited by a moderator:
Hivi, visa vingine mnaandika tu kuchangamsha jukwaa na kupoteza mda au ni kweli kabisa mtu anaomba ushauri serious??

Nami ngoja niombe ushauri hapa:
Jamani wana MMU wapendwa, mimi nimekula sana leo na ninahisi tumbo limevurugika, sasa hivi nimebanwa na mavi ambayo nahisi yatakua na mharo.
Niko kwenye kikao hapa ila naomba mnishauri. Je niende chooni au nijinyee hapa hapa tu? Maana naona kama nikijinyea hapa itakua aibu ila nasikia uvivu kwenda chooni.
Asante.

hahahahahaha..dah..
 
Usimkatishe tamaa ila siku ingine akikupigia Simu mwambie hujanda kazini unaumwa sana kisha atajisogeza kwenye swali hili ..unaumwa nn? Mjibu Kwa swali kwani hujui? Then mwambie we ni mwathirika mwaka wa tatu Sasa so sometimes huwa unazidiwa sana ila umeishaikubali hiyo hali so inakusaidia kuishi Kwa matumaoni...akirndelea zaidi ya hapo Hilo jini kaka delete kabisa

da hii kali asee hivi unajua mdomo unaumba?
 
Back
Top Bottom