Recent content by Hansss

  1. Hansss

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Natamani Malaika ashuke na aifungie mitandao ya kijamii

    Daah tutapitia mengi sana term hii,Mungu tusaidie kwakweli hii ni One-man show
  2. Hansss

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Natamani Malaika ashuke na aifungie mitandao ya kijamii

    Inasikitisha sana aisee sijui tumewakosea nin kwakweli, nasikia kuna mitano mingine ya shukrani kwa jiwe[emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji1787][emoji1787]
  3. Hansss

    JamiiForums Tanzania Itatokea nini kama 'SIMBA' akiwala na kuwamaliza wanyama wote porini? Madhara ya CCM vs CCM

    Tumeuzwa jumlajumla haki ya nani
  4. Hansss

    JamiiForums Tanzania GE2020 Magufuli si mgombea wa Tanzania pekee bali Afrika nzima inamuhitaji

    Jamaa basi kisa umezoea wew kufanyiwa hivyo kama ulivyomalizia ndo unadhani wenzio nao wanafanyiwa kama wewe???........
  5. Hansss

    JamiiForums Tanzania GE2020 Magufuli si mgombea wa Tanzania pekee bali Afrika nzima inamuhitaji

    Mnapojipambanua kusifia msiache na kuonesha failure......lakini kubwa kuliko yote mnapsifia hewala ila ikiwa tofauti basi forum inaonekana ipo kiuchochezi na akina Melo wanakesheshwa mahakamani,waambieni wenye mamlaka kuwa ikiwa JF ina watu wanaosifia basi pia watarajie kuwepo na watu wanaosiliba.
  6. Hansss

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Ndio nyota moja anaetoka Leo kozi JW ni kubwa kijeshi kuliko aliokuwa nayo Polisi kwa miaka kadhaa hizi ni protocol za kijeshi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Hansss

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Daah we jamaa unachanganya ma file sasa yaani OCS, occid ,OCD, RPC hivyo sio vyeo bali ni madaraka tu ,kwa maana OCS ni mkuu wa kituo, OCD ni mkuu wa police wilaya rpc ni mkuu wa polisi mkoa ila sio ranks Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Hansss

    JamiiForums Tanzania Je, risasi za bunduki uwa zina mwisho wa matumizi(Expiry)?

    Kwa swali lko jibu ni kwamba ndio zina expire lakini ku expire kwake bado inafanya kazi na haiwezi kujilipua yenyewe may be bomb zinaweza kuwa na madhara hayo uliosema ila sio bullets Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Hansss

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

    Wakili kazi yake sio kuitaka mahakama itoe adhabu flani bali kazi ya wakili ni kuiomba mahakama ipunguze adhabu kwa mteja wake kutokana na sababu kadhaa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Hansss

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

    Tuletee hayo mabishano nasi tuone mkuu maana clip haioneshi kuwa kulikuwa na mabishano awali. Mayala B, Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Hansss

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

    Hili jina la kwetu hili hakika, huenda nawe ukawa miongon mwa familia za akina mvumbo kule tanga Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Hansss

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

    Jifunzeni kujua mambo na kuwa na wivu wa kutaka kujua jambo, mpaka umewekewa tangazo la RPC na kosa hilo ni la jinai na ukiwa mtumishi wa serikali lazima usimamishwe kaz hasa inapotokea umefikishwa mahakamani. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Hansss

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ebola? Ikulu ya Marekani yasema Tanzania kushindwa kutoa taarifa za Ebola ni moja ya sababu ya zuio la waTz kupata viza ya Marekani

    Inawezekana sio lazima uwe na Ebola, huenda hizo sababu nyinginezo za zuio tukawa nazo na Ebola ikawa kwa mataifa mengineyo yaliyojumuishwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Hansss

    JamiiForums Tanzania Sakata la Marekani na Iran... Marekani kaibuka kidedea..

    Sasa mkuu kwa upande wa mauaji ya Qassim alikuwa na makomandoo takriban 20, hapa ithiibat ipo ingawa hukufafanua ila kwenye watu 80 kwenye kambi 2 hizi taarifa hazina ithibati, jiulize ni Camp gani inakosa mtu hata mmoja majeruhi huku ikiwa imetekea vibaya Sana Kwa mashambulizi kweli ilikuwa...
  15. Hansss

    JamiiForums Tanzania Simiyu: Muhitimu wa Shule ya kata Igaganulwa, Yohana Lugedenga azua mjadala baada ya kupata daraja la 1.7 akiwa amepata A masomo yote 9

    Kichwa hiki hakika, tusizibeze shule zetu hizi jamani Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom