Kila la heri kwake,na Mungu ni mwema ataendelea kumtendea mema
Uyu mse**£ genious.... kanyimwa mwili
Kapewa akili...wahuni tunamuita kipanga
Uyu mse**£ genious.... kanyimwa mwili
Kapewa akili...wahuni tunamuita kipanga
Igaganulwa Iringa,halafu hapo chini imeandikwa Simiyu. All in All huyo ndo Tanzania one. Hao wengine ni mazingira yao ni mazuri mno. Usipofaulu basi wewe kilaza kweli.
Huyu kwangu ndiye mwanafunzi wa mwakaView attachment 1320179View attachment 1320180
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeniwahi kuona hili, taarifa imetiwa ukakasi na kukosa muunganiko.... nachelea kuamini na kupongeza nilichokiona.