Recent content by HansMaja

  1. HansMaja

    Mwigulu: Wanaokaa vikao kwamba huyu tumfanyeje, niwaambie hamnifanyi kitu. Utotoni nishahangaika na simba na chui na hawakunifanya kitu

    Huyu bwana anajishtukia kwamba nafasi aliyopewa ni kubwa sana ukilinganisha na uwezo wake. Kwanza huyu ni ntendaji, mbona yupo kwenye majukwaa muda wote? Anafanya kazi za utendaji saa ngapi?
  2. HansMaja

    PreGE2025 Lissu amwambia Balile "Maswali yako ni Nonsense"

    The one who asked "nonesense" questions is Abdallah Majura. He seems not to undetstand the meaning of "No reforms No Election" despite explainations that was already given.
  3. HansMaja

    Je, unakumbuka nini kuhusu migomo shule za sekondari?

    Hivi huduma shule za sekondari Tanzania zimeboreshwa? Nakumbuka miaka ya 90's tulikua tukisikia migomo ya wanafunzi kila kukicha. Miaka ile ndio palitokea mgomo Sekondari ya Tambaza na wanafunzi wote tulisambaratishwa kwa kuhamishwa na shule kubadilishwa kua High School. Je, unakumbuka nini...
  4. HansMaja

    Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni

    Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza ni kwa nini chama kikubwa kama CHADEMA hakina ofisi nzuri ya Makao Makuu. Kwa muda mrefu Chama kimekua kikiendelea kujibana pale mtaani Kinondoni kwenye jengo la zamani na dogo sana. Kwa yeyote anayejua kwa nini hili linaendelea atuambie hapa. Nafikiri uongozi...
  5. HansMaja

    Eleza chochote kuhusu yanayotokea kwenye Usafiri wa Daladala Jijini Dar es Salaam au kwingineko Tanzania

    Mwaka 2009 nilikua nasafiri kwenye daladala inayotoka Makumbusho kuelekea Mbagala. Mimi nilipanda hiyo daladala kwenye kituo cha Magomeni. Nilipopanda nilikuta daladala limejaa sana. Basi "Konda" akanisukumiza ndani nami nikajitahidi kupata nafasi. Bahati nzuri au mbaya nilijikuta nimetazamana...
  6. HansMaja

    Kwanini Rais Samia Hakuongea na Watanzania Wanaoishi Marekani?

    Tulitarajia kwamba Rais Samia takutana na Watanzania wanaoishi Marekani kwenye ukumbi, lakini hili halikufanyika. Kuna sababu zozote zilizotajwa kwa Rais kutokutana na Diaspora na kujibu baadhi ya maswali tuliyo nayo?
  7. HansMaja

    Nawezaje kupokea hela kutoka nje ya nchi bila kuwa na akaunti ya Benki?

    Mwambie a-download app ya WorldRermit. Humo anaweza kukutumia fedha kwenye mtandao wowote wa simu hapo Tanzania.
  8. HansMaja

    je, nikweli hela ya mke ndani ya ndoa haitoki?

    Wanawake hawapendi kutumia fedha zao kwenye mambo ya familia. Wao wanapenda kujihudumia wenyewe au kusaidia kwao.
  9. HansMaja

    ACT Wazalendo wana siku 10 za kumteua mrithi wa Maalim Seif Sharrif Hamad

    Hii nafasi bila shaka anapewa Babu Duni. Huyu mzee anatokea Pemba kama Maalim Seif na anazijua siasa za Zanzibar vizuri sana.
  10. HansMaja

    Gari Inavuma kuanzia speed ya 80, Msaada wana JF

    Badili tairi. Kama unatumia tairi zilizokuja na gari, hizo zitakua tairi za winter. Siku zote tairi za winta zinavuma ukiendesha kwa speed kubwa.
  11. HansMaja

    Zanzibar yaambulia Manaibu Waziri 2 katika Baraza jipya la Mawaziri

    Mambo ya serikali ya muungano ni kwenye nadharia tu. Zanzibar wana serikali yao na Tanzania Bara tuna serikali yetu. Naibu Waziri wa Mambo ya ndani anatoka Zanzibar!
  12. HansMaja

    Mbatia kuteuliwa na Rais Magufuli kuwa Mbunge(?)

    Kuna tetesi kwamba James Mbatia (Mwenyekiti NCCR-Mageuzi) atateuliwa na Mh. Rais Magufuli kuwa Mbunge. Huyu bwana alishaonekana kuwa upande wa Serikali ya CCM toka alipomtembelea Rais Ikulu. Ukiachia hilo, amemtuma Mgombea wa Chama chake kwenda kupongeza Ushindi wa Rais Magufuli hadharani...
  13. HansMaja

    Siwezi Sahau: Mazingira ya sisi wanawake kuliwa kimasihara

    Wewe una ka-umalaya. Kama umeolewa huyo mume wako ana kazi.
  14. HansMaja

    Rais Magufuli aikingia Kifua Taifa Stars. Amruhusu RC Makonda na DC wa Kigamboni kwenda Misri

    Hili mheshimiwa kachemka. Taifa Stars wakijitahidi saana wataifunga Kenya. Sidhani kwamba Taifa Stars wanaweza kuifunga Algeria hata kama Makonda atakuwepo uwanjani.
  15. HansMaja

    Vipi hali ya Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia?

    James Mbatia (MB) bado mgonjwa? Kana ndivyo, anaendeleaje? Hatujamsikia huyu mwanasiasa machachari kwa muda mrefu sasa.
Back
Top Bottom