je, nikweli hela ya mke ndani ya ndoa haitoki?

je, nikweli hela ya mke ndani ya ndoa haitoki?

Kuna faida za kuoa mke alie na kazi au biashara.

Likitokea lolote yeye ana uwezo wa kuendesha familia.

Inategemea maelewano yenu, kama una kipato kikubwa muachie hela yake afanyie vitu vyake vidogo vidogo kama akijisikia kukusaidia chochote ni yeye sio ndiyo uipigie mahesabu.

Kama kipato cha kawaida basi mnaweza gawana majukumu yeye anaweza deal na mambo ya ndani wewe ukawa unadeal na vitu vikubwa mf. Ujenzi...ada za watoto...uwekezaji na n.k
Hili limekuwa tatizo sana maana ukitaka kugombana na mke fuatilia kipato chake. Wengi huficha na hawataki hela zao zifanye lolote. Mbaya zaidi ni pale wanapoanza kufuatilia za mume. Hapo napo siwaelewi.

La msingi we tafuta hela achana na pesa ya mwanamke.
 
Nagonga meza, hela ya mama wacha anunulie mapochi na peruvian hair tu. Akikupa sawa ila sio lazima na wengi hawawezagi kutoa hela zao so kama umejianda kufulishwa nguo na kupigishwa deki tegemea hela ya mwanamke wako.
Unamlisha yeye huku anajenga mjengo wa maana kwa siri ukiisha unaachwa Rasmi!! na wanao chukua!! hapo ni kuishi kimachale machaele

piga mashine saanaaa! mitoto km 20 hivi!! hapo mwanzoni matumizi toa wewe!! ukiona sasa umefikisha idadi unayotaka na amezeeka kuwa kauzu!! atumie hela yake sasa wewe weka mijengo ya maana kila kona ya jiji hatoki huyo ila atakuua!!

kukomesha hili wewe oa mke mwingine machachali ila awe mchawi haswa kama Eclat!! ikibidi uwe mshirika wa uchawi mke mkubwa akienda kuwaroga mnamuona kwa rada za kichawi mnageuza dawa!!

Lengo akulinde! kila kona unayoenda!!
 
Hili limekuwa tatizo sana maana ukitaka kugombana na mke fuatilia kipato chake. Wengi huficha na hawataki hela zao zifanye lolote. Mbaya zaidi ni pale wanapoanza kufuatilia za mume. Hapo napo siwaelewi.

La msingi we tafuta hela achana na pesa ya mwanamke.
Akiwa bado ana thamani! ndoa changa atafanikiwa kwa hilo, lkn huko mbeleni amesha jichokea??, atasoma rangi za kila aina, watoto wote uliomzalisha atasomesha yeye!! kwa hiyo hela yake mficho.!!

unacheza na me nini?? mwanzoni atasoma mchezo tu!! ukiwa bado mpya, hapa kazi yake ni moja anaweka na kubandua mitoto!! soon! utachakaa yeye ndo kwanzaa ''young!! nionee utakavyocheza hiyo picha ....utazitoa tu bila kukupigia kelele!!...

Jibu utakalo ambulia ni sina hela.....cha msingi hapo mwanamke tumia akili usawazishe mambo mume atakuheshimu lkn ukijifanya mikono nyuma!! heeee!! akirudisha na yeye nyuma sijui itakuwaje..
 
Nisaidieni bure.
Nimejengeka na mentality kua hela ya mke ni yamke na ya mume niyafamilia.

Jambo linalonifanya nione bora kuoa golikipa tu kuliko kuoa mke alonakazi iso na msaada ndan ya nyumba. Hali ikoje?
Goalkeeper tena? 😂 😂 😂
✌️
 
Nisaidieni bure.
Nimejengeka na mentality kua hela ya mke ni yamke na ya mume niyafamilia.

Jambo linalonifanya nione bora kuoa golikipa tu kuliko kuoa mke alonakazi iso na msaada ndan ya nyumba. Hali ikoje?
Sijui kama utanielewa, Uyo golikipa utaoa, atajiunga VICOBA, ataanza biashara, itakua na ataendesha mji.

DAWA: Mpe cheo mkeo, we baki na madaraka.
 
Unamlisha yeye huku anajenga mjengo wa maana kwa siri ukiisha unaachwa Rasmi!! na wanao chukua!! hapo ni kuishi kimachale machaele

piga mashine saanaaa! mitoto km 20 hivi!! hapo mwanzoni matumizi toa wewe!! ukiona sasa umefikisha idadi unayotaka na amezeeka kuwa kauzu!! atumie hela yake sasa wewe weka mijengo ya maana kila kona ya jiji hatoki huyo ila atakuua!!

kukomesha hili wewe oa mke mwingine machachali ila awe mchawi haswa kama Eclat!! ikibidi uwe mshirika wa uchawi mke mkubwa akienda kuwaroga mnamuona kwa rada za kichawi mnageuza dawa!!

Lengo akulinde! kila kona unayoenda!!
Ndio wanawake hao mzee
 
Mungu ampe maisha marefu mme wangu, amjaalie kipato kikubwa zaidi na zaidi kwa kunitunza mimi na watoto wake...
Wala hata hanaga muda na vihela vyangu
 
Mwanamke anatoa hela yake kulingana na wewe unavyotimiza majukumu yako na anaona kweli umebanwa na mambo ya msingi na yenye faida kwake ila lazima ufanye mambo anayotaka yeye yaani usinywe pombe,usiwe na mchepuko,urudi nyumbani mapema na kukaa na watoto yaani uwe mtiifu kwake kitu ambacho hata mwenyewe siwezi najihisi nipo kifungoni kabisa,katika maisha yangu huwa naamini mwanamke hana hela mimi ndio wa kumpa hivyo sitaka kupangiwa vitu ambavyo vinanifurahisha ikiwemo gambe na safari nikijiskia kufurahisha nafsi yangu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wanawake hawapendi kutumia fedha zao kwenye mambo ya familia. Wao wanapenda kujihudumia wenyewe au kusaidia kwao.
 
Oa goli kipA tu.

Chances za kuwa na ndoa ya amani na furaha ni kubwa...

Kwanza hela ya mwanamke ya nini wewe.

Tafuta goli kipa mfungulie biashara
 
Mwanaume ni lazima uwe na pesa ya kufanya chochote unachotaka na kukupa kiburi hata kama mwanamke kakuzidi kipato. Halafu ishi maisha yako. Ajenge kwao asijenge, awe na mjengo mwingine asiwe nao, hayo yote usisumbuke nayo.
 
Niwe mkweli mwanaume akiniomba hela sijui huwa namuonaje( inakuwa ni siri yangu lakini sikwambii) ...yaan ninajenga picha fulani hivi ya kukudharau hata stimu na wewe inakata kabisa

Nb
Mwanaume jitahidi sana utafute pesa utaheshimika mnoo
 
Back
Top Bottom