Ni uelewa mchache kwa Mtikila na wanaomuunga mkono, Kazi ya mahakama ya kadhi sio kuhusika na issue za jinai..Kuweni waelewa na msiwe na vichwa vya panzi..
Ndugu zangu wana CDM, Kwa nini tunakubali kuendelea kutawaliwa/Kuongozwa na mtu aliyepata zero?Huyu Mbowe sidhani kama anafaa kuwa na nafasi yeyote zaidi ya kuwa DJ kwenye mikutano yetu...Kuongozwa na Mr Zero ndo madhara yake haya..
Si ukali ila heshma muhim na sidhani kama malengo ya JF ni kuona watu wakivunjiana heshima....naamini wapo wastaarabu ndo maana inapata members wengi kila kukicha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.