jamani smily uliobaki baada ya mmoja kupotea katika mazingira ya kutatanisha(Pauline) salamu basi usinisahau,mzima lakini ?Karibu sana JF. Nakutakia kila la heri kwenye utafutaji wako.............
jamani smily uliobaki baada ya mmoja kupotea katika mazingira ya kutatanisha(Pauline) salamu basi usinisahau,mzima lakini ?
back to the topic: kijawa huyu mwenye e-mail ya bwaxi (bwaksi) ????
Pole wee samahani kwakuanza na pole siyonakukatisha tamaa ila nakuomba ugeuze kari lako la matamanio ndani ya JF hapa wote ni maguberi over 30!!Hivyo sidhani kama hapa kuna choice yako ila na wewe kama unatafuta waliokuzidi umri maana vijana wasasa hamna aibu waweza kumfunua mtu mwenye rika sawa na mzazi wako!Sisi zamani hatukuthubutu ila nyinyi kizazi cha .com mnaweza sana!!Karibu!!Ila angalia hapa jf usije ukakimbia wewe!Mie ni kijawa mtanzania ila sipo Tanzania kwa sasa...Ningependa kukutana na marafiki wa kike wenye umri kuanzia 18-26....Mengi tutaongea huko,aliye serious aniemail....bwaxb@yahoo.com.....Ahsanteni nyote waungwana..
idd ilikuwa njema,wewe si wakubakishiwa ni wakuja kunipikia rafiki yako jamani lol!Jamani Uporoto, mimi sijakusahau hata kidogo my dear, naona tunapishana tu! Mimi mzima kabisa, habari za kusherehekea IDD?...hopefully nami umenibakishia..
idd ilikuwa njema,wewe si wakubakishiwa ni wakuja kunipikia rafiki yako jamani lol!
Mi napenda wa hapa hapa
Pole wee samahani kwakuanza na pole siyonakukatisha tamaa ila nakuomba ugeuze kari lako la matamanio ndani ya JF hapa wote ni maguberi over 30!!Hivyo sidhani kama hapa kuna choice yako ila na wewe kama unatafuta waliokuzidi umri maana vijana wasasa hamna aibu waweza kumfunua mtu mwenye rika sawa na mzazi wako!Sisi zamani hatukuthubutu ila nyinyi kizazi cha .com mnaweza sana!!Karibu!!Ila angalia hapa jf usije ukakimbia wewe!
ahsante saanaKaribu sana JF. Nakutakia kila la heri kwenye utafutaji wako.............
Si ukali ila heshma muhim na sidhani kama malengo ya JF ni kuona watu wakivunjiana heshima....naamini wapo wastaarabu ndo maana inapata members wengi kila kukicha...yamenikuta, mchumba mwenyewe mkali huyo.
Ntakimbiaje wakati nmeyataka mwenyewe?kuniamini kumenifanya nijitokeza hadharani....hahahaLol! kwi kwi kwi
Ahsante ila pia si mbaya kutafuta maana kutanifanya niweze kuchagua chenga na mchele ili pilau kuwa bomba.....Marafiki wapo wengi tu. Utawapata bila kuwatafuta.
Karibu.