Recent content by Hannat15

  1. Hannat15

    Wakuu ntampeleka wapi huyu mdogo wangu wa kike?

    Me cjaelewa vzr nifahamishen kwenye hili tangazo hapa
  2. Hannat15

    Wanaolalamika kwamba TCU imepandisha madaraja ya kwenda Vyuo Vikuu hawana vigezo

    Afixa0 Point nzur sana za mara hii wenye vigezo ndo wanaenda chuo tungekuwa mbal sana kielimu na kiuchumi mamilion yamepotea kuwasomesha watu hawana cfa za kutosha mwisho wa cku wanadisco na wanaograduate ajira mgogoro pesa walizokopeshwa zinakua zimeenda bure bt this year salute to all...
  3. Hannat15

    Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

    Ooohoo nimefanya ben bella ila namshkuru Mungu kupata kuendelea shule ya pili kufnya vbya ningeugua km ningefeli.
  4. Hannat15

    Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

    Ulitakiwa uwe na angalau DDE ndo ufikie point DEE zinatimia nne lkn za kuunga izo sio 2 principal
  5. Hannat15

    Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

    Swali langu lipo hapa mweenye uelewa aniambie kuhusu course ya logistics and transport management 2015/2016 kwenye helbs priority course haimo kwenye list lkn tcu admission guudebook imeandkwa priority vp mkopo watu wamepewa au imeandikwa tu?
  6. Hannat15

    Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

    D eng D kisw S geo anasoma course gan ukiacha education?
  7. Hannat15

    Nitawezaje kumtambua mwanamke bikra?

    Mcwe wapungufu wa akili nyinyi kwani mtu anapouliza kitu lzm kiwe kinamuhusu yeye tu Mwanamke hapaswi kuelewa kuhusu bikra? Km huna mawazo bora kaa kimya
  8. Hannat15

    Nataka nijaze form ya mkopo chuo (HESLB), niandae vitu gani wakati wa kujaza?

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] napita tu
  9. Hannat15

    Nikiingia kwenye period naumwa na tumbo mpaka natapika

    Naomba msaada na ushauri, nikiingia kwenye period naumwa na tumbo sana mpaka kutapika. Pia siku zangu zinabadilika nikiingia tarehe 2 next month napata tarehe nyingine kuanzia 8 zinaendelea mpaka nafika tarehe 30. Naomba kujua nini tatizo.
  10. Hannat15

    Ngazi kwa kiingereza inaitwaje?

    Inaitwa lift
  11. Hannat15

    Ngazi kwa kiingereza inaitwaje?

    Ww unatka kupanda ngaz gan?km laddar unasema I'm climbing a ladder na km upstairs unasema I'm going upstairs
  12. Hannat15

    Ufaulu wa wanafunzi wa arts A-level unazingatiwa katika utoaji wa mikopo?

    Naomba msaada kufahamu mwanafunzi wa aliyehitimu kidato cha sita masomo ya arts akipata Division one kama course anayoapply si priority mkopo inakua si uhakika licha ya kuwa ana one? Msaada plz
  13. Hannat15

    Nitawezaje kumtambua mwanamke bikra?

    Ni vitu gani vitakusaidia kumtambua mwanamke ambaye hajawahi kufanya tendo la ndoa?
Back
Top Bottom