TCU yatangaza alama mpya kwa mwanafunzi kuingia Chuo Kikuu

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,325
152,136
Soma hapa:
tcu2.png
tcu.png
tcu3.png


Siongezi neno.
 

Attachments

  • REVISED_ADMISSION_CRITERIA_2016_final.pdf
    107 KB · Views: 230
Cha ajabu kipo mana zaman ordinary diploma ilikua 2.7 unaenda degree lkn sasa 3.5 thn UQFL6 imekua stoped
Sasa kipi bora ?? Kikwete alituletea waliofaulu kwenda kidato cha kwanza ila hawajui kusoma na kuandika akaona isiwe tabu ngoja aje na GPA ,ndio hawa wanaoitwa sijui Vilaza Tukalamimika sana ubora wa elimu unashuka,sasa hivi wameongeza kiwango cha ufaulu bado malalamiko ,sasa kifanyike nini ??
 
Mbona sasa watu walikuwa wanasema division three hawatasoma degree
 
Wadau naomba mnieleweshe kwa maana waliomalza form six mara hii DD ndo unaenda degree? Msaada pls
 
Back
Top Bottom