Mmmnh pana shida hapo,guys tuwe makini,umri huo lazima utie shaka,pia maelezo yake ya mwisho utagundua ana booling flan kiaina,mtu akiona hapati mume mara nyingi hukimbilia kanisani,anyway maneno yangu sio sheria,ni mtazamo tu.
Dah si kweli,si wanaume wote wanatoka nje na wako timamu kabisa,acha kupotosha watu kwa kupalilia maovu,hiyo ni tabia na sio suala la akili,thibitisha kitaalamu.
Wanawake panueni fikra,beauty is in mind not pretty faces,uzuri kila mtu anao,mafanikio hayaji kwa kuhongwa bali kupambana kuyatafuta kwa njia sahihi na sio mwili.
Kweli jamaa anaboa sana,afu anaamini juu ya kile anachokisema ata kama ni pumba na si kwrli,jamaa sijui kasoma wapi huyu?au ndo mambo ya kuwa trained but not educated haya...?
Duh pole,bado unampenda na umechukua maamuzi ya fasta,itakugharimu coz bado hujamjua huyo mpya madhaifu yake,inaweza kua bora huyo wa kwanza,pia angalia upande wako,inawezekana unamadhaifu ambayo hutaki kubadilika,na unataka ubembelezwe tuuu,be care,mwanaume huwezi kumkomoa coz mda wako wa...
Mindsett
Hayajakukuta,hapo ni kuchukua maamuzi magumu,watu wanakiss n.k afu kasahau mda huo kama yuko na mumewe akaenda kwa jamaa nk,afu unasema ampe onyo...,hao hawaachani ng'oo,siku atamkuta chumbani kwake na mkewe ohoooh,wanawake hawana maana,wanaendeshwa na hisia na sio akili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.