Recent content by handsomejl

  1. handsomejl

    Maswali ya kijinga na majibu ya hasira. Ongeza na ya kwako

    Mtu anakuambia naona siku hizi unapendeza sana..?unamjibu..Kwa sababu umeacha kula maharage siku hizi.
  2. handsomejl

    Unakimbilia ndoa lakini ulishawahi kuhongwa au kuhonga?

    Duh fikra bado ni tatizo sana,bora mtu kama huna la maana ukae kimya tu,wat z this?
  3. handsomejl

    A husband/Life partner

    Mmmnh pana shida hapo,guys tuwe makini,umri huo lazima utie shaka,pia maelezo yake ya mwisho utagundua ana booling flan kiaina,mtu akiona hapati mume mara nyingi hukimbilia kanisani,anyway maneno yangu sio sheria,ni mtazamo tu.
  4. handsomejl

    Je, Ni sahihi kumuhudumia mwanamke kabla ya kumuoa?

    Hapana si sahihi,hata ukimuoa mnasaidiana majukumu,we sio baba ake,hawajitambui na inabidi wabadili fikra.
  5. handsomejl

    Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

    Dah si kweli,si wanaume wote wanatoka nje na wako timamu kabisa,acha kupotosha watu kwa kupalilia maovu,hiyo ni tabia na sio suala la akili,thibitisha kitaalamu.
  6. handsomejl

    Itambue thamani ya uliyenae

    Dont abandon an old mug by passing mat.
  7. handsomejl

    Msichana mzuri kufa masikini nikujitakia

    Wanawake panueni fikra,beauty is in mind not pretty faces,uzuri kila mtu anao,mafanikio hayaji kwa kuhongwa bali kupambana kuyatafuta kwa njia sahihi na sio mwili.
  8. handsomejl

    Kambaya huwezi kuendesha Malumbano ya hoja

    Kweli jamaa anaboa sana,afu anaamini juu ya kile anachokisema ata kama ni pumba na si kwrli,jamaa sijui kasoma wapi huyu?au ndo mambo ya kuwa trained but not educated haya...?
  9. handsomejl

    Unijifanya Handsome, hapa lazima ukome

    Kawaida mabinti ndo wanapenda sana kununa,afu inakera kinoma ka matoto vile...,jitu linanuna mwezi mzima,je ndoa mtaziweza kweli na challenge zake?
  10. handsomejl

    Unijifanya Handsome, hapa lazima ukome

    Duh pole,bado unampenda na umechukua maamuzi ya fasta,itakugharimu coz bado hujamjua huyo mpya madhaifu yake,inaweza kua bora huyo wa kwanza,pia angalia upande wako,inawezekana unamadhaifu ambayo hutaki kubadilika,na unataka ubembelezwe tuuu,be care,mwanaume huwezi kumkomoa coz mda wako wa...
  11. handsomejl

    Mke wangu kakutana na EX wake tukiwa pamoja, kafurahi hakuna mfano!

    Hornet,tofautisha kuona na kufanya kweli.
  12. handsomejl

    Mke wangu kakutana na EX wake tukiwa pamoja, kafurahi hakuna mfano!

    Mindsett Hayajakukuta,hapo ni kuchukua maamuzi magumu,watu wanakiss n.k afu kasahau mda huo kama yuko na mumewe akaenda kwa jamaa nk,afu unasema ampe onyo...,hao hawaachani ng'oo,siku atamkuta chumbani kwake na mkewe ohoooh,wanawake hawana maana,wanaendeshwa na hisia na sio akili.
  13. handsomejl

    Mke wangu kakutana na EX wake tukiwa pamoja, kafurahi hakuna mfano!

    Miss chagga Inaonekana na wewe ni mfuasi wa maovu hayo,ukweli mkewe kakiri afu unasema asifuatilie umbea,huoni kama umemsaidia?
  14. handsomejl

    Leo nimemfumania live bila chenga

    Hujapenda labda.
Back
Top Bottom