Msichana mzuri kufa masikini nikujitakia

Msichana mzuri kufa masikini nikujitakia

Wanawake panueni fikra,beauty is in mind not pretty faces,uzuri kila mtu anao,mafanikio hayaji kwa kuhongwa bali kupambana kuyatafuta kwa njia sahihi na sio mwili.
 
Unakuta kademu kazuri sura usiseme umbo balaa maisha ziro inamaana sada uzuri wao wautumie daah ww jamaa huna nia njema na dada zetu Mungu atakuhukumu unataka wakajipange pale uhio street, kwa macheni na kona bar
 
Unakuta kademu kazuri sura usiseme umbo balaa maisha ziro inamaana sada uzuri wao wautumie daah ww jamaa huna nia njema na dada zetu Mungu atakuhukumu unataka wakajipange pale uhio street, kwa macheni na kona bar

hebu soma mada uelewe,hako kabinti kazuri kakifungua mama lishe wateja watajaa balaa kufuata msosi
 
Hakuna siku nyerere alisema hivyo juu ya watz na kukalia uchumi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom