teh teh mkuu me nakuunga mkono but tofauti yng na wewe ni kipengele moja tu wakati wewe upo na KINANA BARIDI Me nitakuwa hifadhin SERENGETI NIKIPATA YA moto.
daaah coach wangu hapo UMENYEN nilikuwa napiga ngoz mbaya utasikia SAITAAA acha utani hiyo ilikuwa nyavu kabisa
george eria badala ya george erila, r i p mwl mgaya
saitaaaa ako,kwa vile denar doren anakutesa ebu nipe account yke moja niongee naye kinyumban?
nikusaidie kwa ujumla dasu doren hawana shida kabisa bt wanakiburi ya kuzaliwa,
ORODHA ya vichwa waliopitia shule yA ilboru NA IMPACT ZAO kwa jamiii pima mwenyewe
1.tundu lissu
2.mwigulu nchemba
3.SUMAYE
4.LOWASA
5.MIMI
R I P WALIMU WANGU mr mgaya,chief,shembilu
babu yangu mzee HHANDO aliniambiaga ukiona changamoto iko kali ujue mafanikio ni 1 step ahead-NDO Naanza kuamini rasmi labda naomba kuwakumbusha hawa akina NEPI jaman wa tz wanataka MABADILIKO bt c kupitia kwenu.
niko njian nimeanza safari toka manyara kwenda dar kufanya HIYO PEPAR-finance officer MUNGU SIKILIZA KILIO CHANGU MAANA MWAKA WA 3 napambana na ugumu wa maisha unajua wewe mwenyewe hii NAULI nilivopata.
mini najifunza ujasiria mali nataka matirio ya kutengenezea sabuni za maji lakini sijui wapi ntapata matirio ya kutengenezea, nielekezeni wapi ntapata kwa bei nafuu.
nimeambiwa yanapatikana DAR au Nairobi lakini sijui wapi ntapata nsaidien wandugu.
nipigie sim 0714 592827 au 0763 815 111...
tatizo ni kwamba no fair ground kwenye ajira nowdays issue is who know you,mwenzio nimemaliza tangia 2011 BCOM NA sasa namalizia CPA(t) nimefanya application 58 NIMEITWA MBILI tu - pride na world vission BT BADO NAPAMBANA na SASA NIMEJIIMARISHA ZAIDI kuchukua UDIWAN KATA YA unga ltd NIMEANZA...
njaaa ya siasa mbaya sana kila njia unatumia ili mradi upate huruma ya jamii hivi hawa vijana hawana issue zngine za kupatia rizki zaidi ya hii siasa za vijiweni huyo mwapamba c huwa anadai ni mwl by proffesion?au ndo mwl wa CIVICS yuko field?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.