Recent content by Hammy Baii

  1. H

    Zitto, tatizo mashabiki wako wengi tunakuwa maofisini tofauti na wa Lema na Mbowe

    ..tutamuunga mkono mpaka hatua ya mwisho. Huyo ndo ataondoa siasa za magenge ya wahuni ndani ya chama kikuu cha upinzani.
  2. H

    Zitto, tatizo mashabiki wako wengi tunakuwa maofisini tofauti na wa Lema na Mbowe

    Naposikia vijana walifika mahakaman kuungana na ZZK nafurahi. washabiki wengi wa ZZK ni wasomi, watumishi wa sekta mbalimbali na wanataaluma. Kwa hyo si rahsi kufka mahakamani kuzomeana na wapambe wa aina ya Lema, Msigwa au Mbowe. Kama kuna vijana wanaweza kwenda na wanahtaji usafiri ntatoa...
  3. H

    Natafuta mume wa kujenga nae familia

    07856245625
  4. H

    Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    Ni kweli kuwa ZITTO anaonekana anajifanya ni zaidi ya CDM lakini ukweli ni kwamba ZITTO ni mwanasiasa mkubwa, kwa mfumo wa siasa za chadema anakuwa kama kontena kubebwa na vitz. ZITTO anatakiwa awe kwenye chama kikubwa au akibadilishe CDM kiwe kikubwa na viongozi mbumbumbu kama MBOWE, MSIGWA na...
  5. H

    Nokia Lumia 800 16 GB from UK

    ..pm namba yako
  6. H

    Nokia Lumia 800 16 GB from UK

    ..upo wap?
  7. H

    Tresor Mputu kulipwa 87M kwa mwezi Angola

    ..hahaa! Ngasa mwoga wa kupima? Kwani bongo hawapimwi?
  8. H

    Hujuma Dhidi ya Zitto Kabwe hii hapa,Mungu anazidi kuwaumbua wanafiki

    Kijana hakamatiki, tatzo kundi la mbowe limejaa vilaza.
  9. H

    Natafuta starlet/nissan march kwa four millions.

    ..wadau ambaye anaweza kunipa gari lenye hali nzuri. Sisiwe limechongwa engene wala kupata ajali. Usi P.M mpaka ukubali kama unayo na uweke picha.
  10. H

    Kukoswa risasi na mabomu kwa Mbowe ndiyo kukomaa kisiasa

    Nilishangazwa na akili ya huyu mwanachadema ambaye alipewa uongozi wa kambi ya upinzan bungen na uenyekti wa cdm. Anaongea kwa hasira kwenye kongamano la vijana eti "..watu tumekoswa risasi na mabomu halafu watu wanataka kuvuruga chama" nilisikitika sana. Justfication ya mabom ndo ground za...
  11. H

    Kutoka Kakonko - Kigoma: Yanayojiri katika ziara ya Dr. Slaa

    Nipo hapa Kakonko nyumbani kwetu. Nachokiona ni hali isiyokuwa ya kawaida. Waswahili wanasema '..cha mtoto kimezidi cha mama' kwa kiha tunasema '..chu mwana chasumve cha nyina'. Mapokezi ni hafifu. Wakazi wengi wa hapa wamekuwa wakinong'ona mambo ambayo yanakatisha tamaa. Hayafai kusemwa kwani...
Back
Top Bottom