Wadau mimi naomba mkopo bodi ya mkopo, nina stashahada, kuna sehem ya ku apload cheti cha diploma, napenda kuuliza cheti hiki kinakua original au copy ambayo ni certified?! Nawapigia bodi ya mikopo hawapokei sim wiki tatu sasa
Naomba msaada wa kueleweshwa kuhusu course ya Molecular biology and biotechnology, kazi gani utafanya baada ya kusoma? Uwezekano wa kujiajiri na unajiajiri vipi?
Uwezekano wa kuajiriwa ukoje.
Sidhn kama unfortunately tafasiri yake nibahat mbaya tu, nachojua pia ni kutotegemea kitu fln kutokea, sasa haijalish kitatokea kwa ubaya au kwa uzuri.
Lugha sio yetu, karbu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.